Vibe la Wabunge mashabiki wa Simba, walivyotambulishwa wachezaji wa Simba ndani ya Bunge

Vibe la Wabunge mashabiki wa Simba, walivyotambulishwa wachezaji wa Simba ndani ya Bunge

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Uongozi wa Klabu ya Simba Pamoja na wachezaji wamehudhuria Mkutano wa 18 wa Bunge leo tarehe 4 Februari, 2025, jijini Dodoma ambapo wapo jijini humo wakiwa wameweka kambi ili kuikabili Fountain Gate tarehe 6 Februari, 2025, shangwe nyingi zimesikika bungeni wakati wekundu hao wakitambulishwa na Naibu Spika wa Bunge Mh. Mussa Zungu.

1738660463325.png

Tazama Vibe la Wabunge mashabiki wa Simba, walivyotambulishwa Wachezaji na Benchi la ufundi la Simba ndani ya Bungue mjini Dodoma wakiwa ni wageni wa Mbunge Rashid Shangazi

 
Back
Top Bottom