Viboko havina maana vipigwe marufuku shule zote kwa sheria kali

Viboko havina maana vipigwe marufuku shule zote kwa sheria kali

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Ifike mahali huu utaratibu wa kuadhibu watoto shuleni kwa viboko vikali upigwe marufuku maana hauna maana yoyote ile.
20250307_204509.jpg
20250307_204521.jpg


Viboko havisaidii lolote ni ujinga tu kuendeleza huu upuuzi.

Tuna elimu mbovu sana hatuwazidi chochote hao wenye nchi wasio chapa chapa hovyo watoto shuleni iwe kielimu,kiteknolojia hata kiuchumi.
 
Viboko viendelee tuu mashoga yanazidi kuwa mengi

Tatizo walimu wanatolea stress zao kwenye vipigo na hilo ni tatizo
Mkundu hauzibwi kwa viboko.

Ukiamua kuacha mkundu wako wazi hayo ni maumuzi yako wewe na fikra zako wewe na tamaa zako wewe hakuna kitakacho kuja kufunika mkundu wako sio viboko wala chochote ni pale utakapo amua wewe mwenyewe kuufunika
 
Mkundu hauzibwi kwa viboko.

Ukiamua kuacha mkundu wako wazi hayo ni maumuzi yako wewe na fikra zako wewe na tamaa zako wewe hakuna kitakacho kuja kufunika mkundu wako sio viboko wala chochote ni pale utakapo amua wewe mwenyewe kuufunika
Mtoto hana maamuzi yake binafsi, jukumu la mzazi/mlezi kumuamulia viboko ni njia mojawapo
 
Ukute umezaa umemlea mwanao nakumuhudumia halafu anakuja kuuliwa kwa viboko!, walahi huyo mwalimu nikimuona hata kama sina siraha ila nikishika shingo yake naua hata kwa meno!
 
Viboko viendelee tuu mashoga yanazidi kuwa mengi

Tatizo walimu wanatolea stress zao kwenye vipigo na hilo ni tatizo
Why are you gay? Kumbe viboko vipo mashuleni kuzuia ushoga na sio kitaaluma zaidi? As much as I hate upinde, wengi ni wanatoka uswahilini! Uswahilini wengi wa watoto wao wanasoma shule zenye hivyo viboko!
 
Nachukia adhabu ya viboko lakini mwalimu akifuata utaratibu kama unavyomtaka sidhani kama ataua! Fimbo tatu haziwezi ua mwanafunzi zaidi ya hapo ni uhalifu kama uhalifu mwingine

Serikali wanazingua sana sababu watoto wao hawasomi hizo shule zenye viboko, leo hii ukiangalia hata ubunifu kwa watoto waliosoma shule zisizo na viboko na waliosoma kwenye viboko ni mbingu na ardhi, hapo bado kwenye taaluma na nidhamu kwa ujumla
 
Hapana mimi sio gay, ila miaka hiyo tulipokuwa shuleni niliona fimbo zikiwa msaada, ninauhakika intake yangu ya msingi sikuwahi kuona gay hata mmoja, secondari pia
Nilinunua ugomvi lakini umeonyesha maturity, kwa hilo nakupongeza. Sitaki nijikite sana kwenye ushoga sababu wapo rika lote kuanzia wadogo kwa wakubwa, waliopigwa viboko na wasio pigwa viboko.

Ishu ni uhalali wa viboko kitaaluma au utaratibu wa upigaji viboko, hapo juu nimesema sidhani kama mwalimu akifuata utaratibu kama unavyomtaka kwenye kuadhibu yatamkuta kama haya, fimbo 3 haziwezi kumuua binadamu tena wa miaka 18!

Mwalimu anavyopiga zaidi ya sheria inavyomtaka huyo ni muhalifu kama wahalifu wengine kwenye kada mbalimbali

Mwisho zama zimebadilika, zamani ilikuwa utembee kilomita 5+ ndio ufike shule, nyumbani pia kazi za kuchangamsha mwili ni nyingi kiasi ilisaidia mikiki mikiki kama hiyo. Kwasasa kizazi hiki ambacho magonjwa yasiyo ya kuambukiza yanawapata mpaka u18 kwa lifestyle mbovu, tutazika wanafunzi wengi na walimu wengi ndoto zao zitaishia jela.
 
Mwalimu anavyopiga zaidi ya sheria inavyomtaka huyo ni muhalifu kama wahalifu wengine kwenye kada mbalimbali
Nashauri adhabu mbadala zirudi mashuleni ikiwa pamoja nakung'oa visiki, kulima, kufyeka, kujaza maji kwenye matenki (sio pipa) ili ajiadhibu mwenyewe, watoto wa siku hizi ni walaini mno mno
 
Tuanzie kwanza Nyumbani. Hakuna kupiga watoto, Wale wake zenu.

Sio Kitoto Nyumbani hakiogi mpaka Fimbo, Ila shuleni mnataka kifanye homework Bila fimbo
 
Dah....nawaza bila zile mboko za mshua pale home na zile za madame Anna pale kwa bibi sijui ningekuwa wapi saa hii...dah :3Kool:
 
Back
Top Bottom