Viboko havina maana vipigwe marufuku shule zote kwa sheria kali

Viboko havina maana vipigwe marufuku shule zote kwa sheria kali

Hivi unashika fimbo na unachapa binadamu mwenzako?

Niliapa kuwa sitakuja kumchapa mwanangu wala mtoto wa mtu mpaka nitakapoona kuku akimuadhibu mwanaye.

Ninachojua mimi ni kwamba binadamu hazaliwi na tabia bali anakutana nazo duniani kutokana na mazingira anayolelewa. Ukiwa busy na shughuri zako, dunia itakulelea mwanao na atakuletea tabia usizozipenda.

Tabia ya mtoto ni matokea ya malezi ya mzazi. Kuchapana hakuna maana yoyote zaidi ya kuendekeza utumwa
 
Kesho mtasema "mtoto akikosea usimgombeze, maana kuna watoto wamejiua kutokana na kugombezwa na Wazazi au Walimu wao
 
Ifike mahali huu utaratibu wa kuadhibu watoto shuleni kwa viboko vikali upigwe marufuku maana hauna maana yoyote ile.
View attachment 3262884View attachment 3262885

Viboko havisaidii lolote ni ujinga tu kuendeleza huu upuuzi.

Tuna elimu mbovu sana hatuwazidi chochote hao wenye nchi wasio chapa chapa hovyo watoto shuleni iwe kielimu,kiteknolojia hata kiuchumi.
Walimu wapumbavu ndiyo wanategemea viboko. Asilimia 90 ya walimu wote Tanzania ni wapumbavu walio kubuu...kama yupo mwalimu anabisha alete hoja hapa...namsubiri
 
Walimu wapumbavu ndiyo wanategemea viboko. Asilimia 90 ya walimu wote Tanzania ni wapumbavu walio kubuu...kama yupo mwalimu anabisha alete hoja hapa...namsubiri
Mit 23:13
Usimnyime mtoto wako mapigo; Maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa
 
Fimbo ni muhimu sana, isipokuwa walimu baadhi hutumia vibaya, ila fimbo inamrejesha mwanafunzi kwenye mstari.
 
Mit 23:13
Usimnyime mtoto wako mapigo; Maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa
Pia imeandikwa usiue tena hiyo amri ilikuja kwa mikono ya musa sasa mbona baada ya hiyo amri musa aliua hadi watoto wachanga na watoto waliopo matumboni pia ..aliua wazee wagonjwa walemavu ...Toa fafanuzi...tatizo lenu wakristo mmejaa upumbavu vichwani hadi amjui nini maana ya amri za mungu.
 
Back
Top Bottom