DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
[emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji3581]Kitu pekee ninachokuunga mkono ni matusi. Kweli haifai hata kidogo kumtukana matusi mtoto. Ila VIBOKO HAVIEPUKIKI. Hiyo ni lazima sana. Matusi kwa mtoto nayapinga.
Junia jau sana sio kwa kupenda sifa kuleMitoto kama mikina Junia
Usipochapa viboko ipo siku atakujambia sokoni
Punda haendi bila mjeredi,ila viboko hivio viwe via kumtia adabu sio kumkomoaWewe lea wa kwako bila viboko nasi tutalea wetu kama tulivyo lelewa.
Kuna viboko aina 2 kumtia mtoto adabu na kumkomoa mtoto tofaotishaKama Elimu ingekuwa viboko, punda angekuwa UDOM
Angekuwa na degree nyingi kumpita huyuKama Elimu ingekuwa viboko, punda angekuwa UDOM
JuniaaJunia jau sana sio kwa kupenda sifa kule
chaaaaaaaaaaa!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mbona Paka, mende, simba, joroli etc Hawapigwi na hatuoni kama wana akiri kama sisi. Wewe ni KIBAKURIKama Elimu ingekuwa viboko, punda angekuwa UDOM
Comment Bora Ya Mwaka 2023/2024Kama Elimu ingekuwa viboko, punda angekuwa UDOM
Akiri = akili, kibakuri = kibakuli. Wewe hata huku ukubwani unastahili kuchapwa viboko.Mbona Paka, mende, simba, joroli etc Hawapigwi na hatuoni kama wana akiri kama sisi. Wewe ni KIBAKURI
Natofautiana na wewe saana. Wanangu wote kama si viboko wasingefika hapa walipoMtoto anajifunza kwa kuona na sio hayo matusi Makubwa unayomwabia na Viboko.
Kuwa mtu smart hakikisha Mwanao unamfanya anakuwa smart kwa mjengea Huwezo wa kusoma vitabu , kuhoji na kuwa na utamaduni wa kuhakikisha unampa Muda wa meditation akae peke yake Sehemu tulivu then uone Kama ajakaa sawa.
Viboko huko mashuleni na majumbani mnapoteza Muda na hizo bullying zenu mara mnawaita Mbwa, hiyo midomo yenu michafu na tabia zenu ndo zimezaa watoto wa hovyo.
Tusipangiane kabisa namna ya malezi maana akiharibika lawama ni zangu Mzazi wala si yeye anishauriye upumbavu.Natofautiana na wewe saana. Wanangu wote kama si viboko wasingefika hapa walipo