Viboko havina umuhimu wa kumfanya mwanao kuwa na adabu unapoteza tu Muda wako kumchapa

Kabla sija changia kwanza naomba kujua kama una mtoto au watoto...??
Maana nisuje nikajikuta nakukosea mkuu..
 
Biblia inasema usimnyime mtoto mapigo asikwmbie mtu watoto bila bakora utatengenza mashoga hayo malez ya kifala waachie wazungu.....trust me wazungu wangekuwa na malezi ha kiafrica ushoga usingeshika hatamu.
 
Wala usimnyime mwanao Fimbo kwenye maandiko matakatifu yanasema katika biblia.. Kwa iyo unapingana na MUNGU? matusi upo sahihi
Biblia ukiisoma kama hivi ulivoisoma utakua unaimis-concept Kila siku...Wameandika kwamba mtoto usimnyime "mapigo" mapigo yanaweza kuwa fimbo lakini sidhani kama yalimaanishwa fimbo...nadhani tuunge mkono hoja ya mtoa mada na tujikite kuelewa zaburi kwamba "Mlee mtoto katika njia impasayo, naye hataiacha hata atakapokua mzee"
 
Comment Bora Ya Mwaka 2023/2024
Hakuna issue hapa! Kachanganya madesa!! Aliyemwambia kwamba viboko huleta akili ni nani???

Viboko vinatumika kumjengea mtoto nidhamu na si kumpa akili!

Kwa kutumia viboko, at least atajifunza kufikiri kabla ya kutoa majibu ya kijinga! Haitampa akili, itampa nidhamu!!
 
Hata mimi sikubaliani na wewe kwa habari ya viboko!

Kwa mitusi nakuunga mkono kwa 100% lakini kwa bakora hapana! Mtoto anapokosea lazima umrudi kwa fimbo vinginevyo tutatengeneza taifa la hovyo sana!

Nadhani hii ni elimu ya magharibi! Nao wameharibu watoto kwa kiwango kikubwa kwa sababu ya ujinga huu! Ushoga na mengineyo mengi ni kwa sababu ya hili!!!

Natamani ungefuta hili la viboko! Akikosea, mchape! Usitake kutuharibia nchi yetu!

Viboko husaidia sana kuleta nidhamu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…