RugambwaYT
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 1,397
- 1,899
Nimekua nikifuatiliza vibonzo kutoka kwa wachoraji mbalimbali wa siku hizi, wengi wao wanatumia picha halisi ya mhusika, then sehemu zingine za mwili ndio zinachorwa.
Sijui huu ndio mtindo wa kisasa katika uchoraji, au tuseme uwezo wa wachoraji wetu umeanza kupungua kama ilivyo kwenye sekta nyingine nyingi?
Binafsi katika uzoefu wangu wa mambo ya uchoraji, kuchora sura ya mto bila too much distortion ndio huwa the hardest part, ila other body parts ni rahisi, as all you have to do ni kuonesha ni binadamu na sio ng'ombe au paka.
Ila this new style naiona kama it's basically 'copy and paste' which most people today can easily do with their smartphones.


Sijui huu ndio mtindo wa kisasa katika uchoraji, au tuseme uwezo wa wachoraji wetu umeanza kupungua kama ilivyo kwenye sekta nyingine nyingi?
Binafsi katika uzoefu wangu wa mambo ya uchoraji, kuchora sura ya mto bila too much distortion ndio huwa the hardest part, ila other body parts ni rahisi, as all you have to do ni kuonesha ni binadamu na sio ng'ombe au paka.
Ila this new style naiona kama it's basically 'copy and paste' which most people today can easily do with their smartphones.

