Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibubu chake kilitoa milioni kwa wikiNimemkumbuka Mjasiriamali Shamimu
Swali zuri sana hili.Kimetengenezwa kwa material gani hadi panya wasikitafune?
Sio vizuri mkuu kuisemea vibaya biashara ya mwenzioUmenikumbusha mbali vina kuwaga n chuma ulete ndani mapema sana. Anatangulizwa kabisa
Asante kwa ushauri mkuuPia ni vyema kukawa na time restrictions. Yaan hata mtu akiwa na password asiweze kufungua kabla ya muda fulani aliojipangia. So inakuwa kama timer, haifunguki mpaka muda huo upite.
Kweli kabisa.Kama password naijua, hamna kibubu hapo!!!
Vipi mtu akikikwapua au kina alarm?H
Karibu sana mkuu.
Uzuri wa hivi vitu unaweza tunza vitu vingine tofauti na pesa.
Weka saa
Weka pete
Weka simu
Ili mradi tu kuwe nà usalama wa kutosha.
Kuhusu password sio rahisi kujulikana labda umshirikishe mtu.
Hakina alarm mkuuVipi mtu akikikwapua au kina alarm?
Asante wakala wa WachinaHakina alarm mkuu
Tutalifanyia kazi pia hili
Hivi kuna maswali mengi huwa najiuliza kuhusu hivi vibubu.H
Karibu sana mkuu.
Uzuri wa hivi vitu unaweza tunza vitu vingine tofauti na pesa.
Weka saa
Weka pete
Weka simu
Ili mradi tu kuwe nà usalama wa kutosha.
Kuhusu password sio rahisi kujulikana labda umshirikishe mtu.
Password ya Mpesa unayo does not mean unatoa hela regularly?Nakazia
Karibu sana Bwana FunzaAsante wakala wa Wachina
Hata ambavyo havina paswod nyundo zipo na visu vyakutobolea vipoKama password naijua, hamna kibubu hapo!!!