Vibwengo ni mizimu au jamii ya majini

Aisee huyajui maandiko. Tangu mwanzo nimeliona hilo, ama unapotosha kusudi, ama kweli hujui. Kama unashindwa kuelewa MFANO mwepesi namna hiyo, ni roho yupi anayetenda kazi ndani yako?
Nimefundisha wengi sana bible Verse to verse.. na wengine ni watumishi wenu.. huko mijini.. Na wana balance injili yao.. na wengine huenda wamekufundisha na wewe 😃😃😃
 

Kunukuu maandiko out of context ndio mchezo uliopo hewani hapa.

2 Mambo ya Nyakati 1
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁷ Usiku ule Mungu akamtokea Sulemani, akamwambia, Omba utakalo nikupe.


¹⁰ Basi sasa nipe hekima na maarifa, nijue kutoka na kuingia mbele ya watu hawa; kwa kuwa ni nani awezaye kuwahukumu watu wako hawa walio wengi?

*** Hiyo hapo sababu ya Suleiman kuomba hekima na maarifa, wala sio kwamba apate utajiri. Iko wazi mno.

¹¹ Naye Mungu akamwambia Sulemani, Kwa sababu neno hili lilikuwamo moyoni mwako, wala hukujitakia mali, wala utajiri, wala utukufu, wala maisha za wakuchukiao, wala hukujitakia maisha ya siku nyingi; bali umejitakia hekima na maarifa, upate kuwahukumu watu wangu, niliokutawaza juu yao;

*** Kumbe Suleiman hakujitakia mali kama unavyojaribu kutuaminisha. Alitaka hekima na maarifa kwa ajili ya kuwaongoza watu wake.

¹² basi hekima na maarifa umepewa;nami nitakupa mali, na utajiri, na utukufu, kupita walivyokuwa navyo wafalme wote waliokuwa kabla yako, wala baada yako hapatakuwa na mtu atakayekuwa navyo.

*** Kumbe Mungu ndiye aliyeamua kumpa na mengine ambayo hakuwa ameomba. Unajua sababu ya Mungu kutenda hivyo? Hekima na maarifa hutoka mbinguni kupitia Roho Mtakatifu, lakini utajiri na heshima ni mambo ya kidunia tu. Mungu anasema tafuteni kwanza ufalme wa Mungu, ndicho alichofanya Suleiman. Hakuomba utajiri kama waumini wanavyodanganyana leo, ALIOMBA KARAMA ZA ROHONI:

1 Wakorintho 12
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹ Basi, ndugu zangu, kwa habari ya karama za roho, sitaki mkose kufahamu.


Maana mtu mmoja kwa Roho apewa neno la hekima; na mwingine neno la maarifa, apendavyo Roho yeye yule;
⁹ mwingine imani katika Roho yeye yule; na mwingine karama za kuponya katika Roho yule mmoja;


Suleiman aliutafuta kwanza ufalme wa Mungu, ingekuwa kizazi hiki cha nyoka watu wangeomba kuwa kama Bill Gates
 
[emoji2][emoji2][emoji2].. Basi baki hivyo.. Mungu hajawa na planing ya watoto wake washindwe. Kama Mungu wako anabahatisha . Utabaki na mashaka mashaka ya wenda mbinguni au kwenda motoni.. kupata taji iliyo bora au dhaifu ni jitihada zako
Ndugu ijue kweli
 
Huyo babu yako yuppo wapi?
 
Matusi hayatakusaidia ndugu
Haya twende na hao kina Ibrahimu na Solomoni, katika nyakati zao, ni wapi imesemwa Waisraeli wote walikuwa mabilionea? Kwa nini iwe Ibrahimu na Solomoni pekee?
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]... Ndio maana nakuambia bado sana wewe.. huna unacho elewa. Kila neno lilotoka kinywani kwa Yesu Kristo alikuwa ana maanisha hakuwa anaigiza.. baki hivyo..
Amefafanua mwenyewe kwenye andiko hilo isipokuwa unapotosha kutaka kuhalalisha fweza
 
Nimefundisha wengi sana bible Verse to verse.. na wengine ni watumishi wenu.. huko mijini.. Na wana balance injili yao.. na wengine huenda wamekufundisha na wewe [emoji2][emoji2][emoji2]
Sijafundishwa na wapotoshaji, hakuna mwalimu kama Roho Mtakatifu. Hawa wa mijini tunawajua, wamepa sikitiko watu wengi maskini.
 
Nilikuelewa vizuri sana
 
Eeeh malizia basi namna ya kuactivate hiyo power
 
Haihusu fedha, ni kuhusu ufalme wa Mungu. Kama huelewi uliza
 
Eeeh malizia basi namna ya kuactivate hiyo power
Huu uzi una mchanganyiko wa mambo mengi Sana unaweza ukajikuta mtu unasoma afu usielewe chochote..

Nitakutumia kitabu pm uanze nacho kukisoma then Kama utakimaliza Kama utaitaji uongeze ujuzi zaidi ntakutumia vingine...
 
Huu uzi una mchanganyiko wa mambo mengi Sana unaweza ukajikuta mtu unasoma afu usielewe chochote..

Nitakutumia kitabu pm uanze nacho kukisoma then Kama utakimaliza Kama utaitaji uongeze ujuzi zaidi ntakutumia vingine...
Nitashukuru mkuu🙏
 

Mkuu Kuhani Noah ningependa kujua zaidi origin ya sex . Tafadhari iilezee hii
 
Huu uzi una mchanganyiko wa mambo mengi Sana unaweza ukajikuta mtu unasoma afu usielewe chochote..

Nitakutumia kitabu pm uanze nacho kukisoma then Kama utakimaliza Kama utaitaji uongeze ujuzi zaidi ntakutumia vingine...

Nitumie na mimi tuchangie maarifa
 
Ni kweli kabisa huu uzi una mkorogo wa mada mnoo ila unaposema malaika hawana powers zozote kwa binadamu kwa Imani yako ya kiislam unajikanganya pia maana najua kabisa ni lazima utakuwa unavijua visa vya malaika Jibrill na mtume Muhammad?In islam malaika Jibrill alipomwambia Mohammad Iqrah :suratul a'laq(Soma kwa jina la mola wako mlezi aliyekuumba) baada ya mtume kushindwa si alibanwa mbavu zake na malaika huyohuyo unaesema ana lolote kwa mwanadamu...All in all na mimi naomba unitumie hicho kitabu pm
 
Kweli mambo ni mengi muda mchache yaani nasoma kama picha kumbe haya mavitu yapo kweli
 
Eeeeeh! kweli mambo gambina
 
Ningependa kujua naanda madhabahu na natoa sadaka ya mali lakini najijua mapungufu yangu labda ni mzinzi na nimeshindwa kuacha lakini nimepunguza spidi, vipi madhabahu inaweza kuwa na matokeo kweli ama ni kama kumdhihaki Mungu hii imekaaje tafadhali.
 
Kuna muda inanitokea nikivua shati ama tshirt vinyweleo vya tumboni na mikononi kusimama na kufuata movement ya nguo kama kuna nguvu Fulani hivi ya usumaku. Hii imekaaje mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…