Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Nazani ungeanza na jinsi ya kuandaa madhabahu ,na kuendeleza na masomo mengine.Ulimwengu wa roho unazingatia sana protocal. Kwanini watu huteseka na nguvu za giza au wachawi kuwatesa watu ? Unakuta lichawi usiku kucha lipo kwenye madhabau zao ( hii yenyewe tu ni sadaka ), na likifika eneo la sadaka linatoa sadaka yoyote inayotakiwa. Linaenda mloga mtu ambae 24 hours kulala tu , sadaka akitoa kubwa buku tena napo roho inamuuma kweli.. unadhanu uchawi huyo mtu utamkosa ? Ila kama wewe unatoa beyon ya huyo mchawi automatic ata fail, kanuni za kiroho zitagoma [emoji2][emoji2][emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app