Member since 29-09-2020.Chagua JPM. Achaneni na waongo. Huyu mgombea mwingine hana maadili.
Hatuwezi kumpa kura mtu mbaguzi, muuaji na katili JPMWatanzania hatutaki Lissu anayetaka kuturudisha kwenye utumwa wa kuwaabudu mabeberu. Anasema ndiyo wanatulisha!!! Aibu kweli kubaki na mawazo ya kiutumwa na kuwahusudu wazungu.Tumeamua kabuki huru na JPM wetu. Mpe kura zote JPM
Hatuwezi rudi misri kwa sababu ya "mabarabara"( kama mwenyewe anavyoongea)Tuna siku 30 kamili za kuandika andika humu kwa uhuru na kukosoa kwa haki wagombea wetu. Baada ya hapo kuna mawili, turudi utumwani au tujikomboe. Uamuzi ni wetu ile Jumatano inayosubiriwa ya tarehe 28 Oktoba kuchagua UTUMWA au HAKI βπΏβπΏβπΏ
Nadhani kwa spana anazowapiga Lissu mazwazwa wengi wanaweza kuamua kuondoka utumwani na kupigia kura UHURU.Watanzania tunaojitambua hatuwezi kuuchagua UTUMWA ni MAZWAZWA tu ndiyo wanaoweza kuuchagua UTUMWA.
Nadhani kwa spana anazowapiga Lissu mazwazwa wengi wanaweza kuamua kuondoka utumwani na kupigia kura UHURU.
Labda tuwaulize jee ndivyo mtakavyo Fanya?
Elitwege jingalao Wakudadavuwa MOTOCHINI Crimea johnthebaptist TandaleOne na wengineo
Tujikomboe mkuuTuna siku 30 kamili za kuandika andika humu kwa uhuru na kukosoa kwa haki wagombea wetu. Baada ya hapo kuna mawili, turudi utumwani au tujikomboe. Uamuzi ni wetu ile Jumatano inayosubiriwa ya tarehe 28 Oktoba kuchagua UTUMWA au HAKI βπΏβπΏβπΏ
We TAGA' Upo!?Watanzania hatutaki Lissu anayetaka kuturudisha kwenye utumwa wa kuwaabudu mabeberu. Anasema ndiyo wanatulisha!!! Aibu kweli kubaki na mawazo ya kiutumwa na kuwahusudu wazungu.Tumeamua kabuki huru na JPM wetu. Mpe kura zote JPM