Vichaa wa siku hizi wamekuwa legelege sana, wapole na wavivu

Vichaa wa siku hizi wamekuwa legelege sana, wapole na wavivu

Dah umenikumbusha kichaa mmoja kijijini kwetu miaka ya 2000-2002 alikuwa sijui mama sijui bibi yule. Siku moja alitukuta watoto tunacheza sijamwona wenzangu wakatimua mbio. Sasa ile nashtuka kumwona tayari kashanidaka mkono akapitisha kwenye papuchi lake kubwa, chafu na limejaa msitu wa mavuzi hatari! Sikulia ila niliona aibu sana huku wenzangu wakinicheka na kunitania kwa muda mrefu. Ilinichukua miaka kadhaa kuondoa kumbukumbu ile kichwani mwangu na vichwani mwa watoto wenzangu.

Baadaye alipotea hakuwahi kuonekana tena, zikavuma kuwa alichunwa ngozi kwenye msitu fulani mnene uliopo ndani ya kata ile.

Ni kweli kabisa vichaa wa zamani walikuwa watata sana, hawa wa leo hata bakora unamcharaza na anatimua mbia, na yowe juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah umenikumbusha kichaa mmoja kijijini kwetu miaka ya 2000-2002 alikuwa sijui mama sijui bibi yule. Siku moja alitukuta watoto tunacheza sijamwona wenzangu wakatimua mbio. Sasa ile nashtuka kumwona tayari kashanidaka mkono akapitisha kwenye papuchi lake kubwa, chafu na limejaa msitu wa mavuzi hatari! Sikulia ila niliona aibu sana huku wenzangu wakinicheka na kunitania kwa muda mrefu. Ilinichukua miaka kadhaa kuondoa kumbukumbu ile kichwani mwangu na vichwani mwa watoto wenzangu.

Baadaye alipotea hakuwahi kuonekana tena, zikavuma kuwa alichunwa ngozi kwenye msitu fulani mnene uliopo ndani ya kata ile.

Ni kweli kabisa vichaa wa zamani walikuwa watata sana, hawa wa leo hata bakora unamcharaza na anatimua mbia, na yowe juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
du!!!!!,,,,,,,,alikuwa na VUZIMA kama sili waya nini?
 
Dah umenikumbusha kichaa mmoja kijijini kwetu miaka ya 2000-2002 alikuwa sijui mama sijui bibi yule. Siku moja alitukuta watoto tunacheza sijamwona wenzangu wakatimua mbio. Sasa ile nashtuka kumwona tayari kashanidaka mkono akapitisha kwenye papuchi lake kubwa, chafu na limejaa msitu wa mavuzi hatari! Sikulia ila niliona aibu sana huku wenzangu wakinicheka na kunitania kwa muda mrefu. Ilinichukua miaka kadhaa kuondoa kumbukumbu ile kichwani mwangu na vichwani mwa watoto wenzangu.

Baadaye alipotea hakuwahi kuonekana tena, zikavuma kuwa alichunwa ngozi kwenye msitu fulani mnene uliopo ndani ya kata ile.

Ni kweli kabisa vichaa wa zamani walikuwa watata sana, hawa wa leo hata bakora unamcharaza na anatimua mbia, na yowe juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kichaa na mwendawazimu,hakuna kichaa mpole,kichaa no mawe tu kwenda mbele,hao wapole no wendawazimu
 
Naomba niandike kitu kama pumba flani lakini inafikirish kidogo.

Nakumbuka zamani nilipokuwa mdogo kule kijijini kwetu msinga-kibosho marehemu bibi yangu (ndo nilikuwa nikiishi nae, wazazi wangu na wadogo zangu wao waliishi Dar) alikuwa akiniasa wakati akinituma, "usipite mtaa ule kuna kichaa mkali sana si unamfahamu kichaa PAULO? "naitikia ndio.....si unajua anapiga watu? basi tafadhli usipite pale.

Na kweli kichaa Paulo alikuwa noma na alikuwa na pumzi ya ajabu, alikuwa na uwezo wa kukimbia siku nzima bila kupumzika, pia mara chache shangazi yangu aliyekuwa akiishi pale mjini moshi, wakati wa likizo alikuwa akinichukua kwenda kupumzika kwake.

Sasa pale mjini Moshi kulikuwa na vichaa wengi sana na ajabu wengi wao walitokes sehemu iitwayo URU, unaopatikana sehemu iitwayo kishumundu, sio kwamba nazodoa, hapana watu wa URU wana akili sana ndo manake wengi wao ni maingeneer. Sasa wale ambao hawakuendelea na shule ili akili zipoozwe ndo walikuwa wakidata.

Anyway ilikuwa ni vurugu, huwezi toka mpaka uongozane na mkubwa. Hata ukisoma Biblia, YESU alimkuta kichaa mkali sana, unaambiwa kwa mujibu wa maandishi huyo chizi alikuwa na nguvu za ajabu na alikuwa na mapepo kibao kichwani (sijui ndo majini)

Unaambiwa YESU likomaa nao mpaka ikabidi ayaamrishe yale majini yaende kuwaingilia nguruwe, na waliwaingilia nguruwe nao nguruwe walichizika kama wamekula msuba, wote walikimbilia mtoni.

Sasa tuje kwenye vichaa hawa wa DOTCOM, vichaa hawa bwana wamekuwa wavivu sana, hawakimbii tena. Hata kutembea kwao wananyata, kuongea hawaongei achana na kupiga kelele kama vichaa wa longi, kutwa wamelala majalalani. Yaani sasa hivi kama kichaa kalala barabrani unamkamata mguu na kumvutia kando ya barabara huku yeye akikuangalia kwa jicho la huzuni!

Vichaa wa sasa hivi ni wembamba kama miwa, tofauti na wa zamani waliokuwa na kifua kama mandonga. Vichaa wa siku hizi hawabaki akina dada kama wa zamani wala hawapigi punyeto kama wa zamani, wala hawatembei uchi kama wa zamani!

Lakini katika kutafakari sana nikagundua jambo moja. Inawezekana utitiri wa makanisa ya walokole na kuongezeka kwa walokole na mikesha yao ya usiku na mchana, imesababisha hawa majini wanaoshi ndani ya vichwa vya hawa vichaa, kupooza na kunyon'gonyea kabisa, au nimekosea mazee?
Kuna tofauti ya kichaa na mwendawazimu,ogopa kichaa akishika rungu sokoni
 
Naomba niandike kitu kama pumba flani lakini inafikirish kidogo.

Nakumbuka zamani nilipokuwa mdogo kule kijijini kwetu msinga-kibosho marehemu bibi yangu (ndo nilikuwa nikiishi nae, wazazi wangu na wadogo zangu wao waliishi Dar) alikuwa akiniasa wakati akinituma, "usipite mtaa ule kuna kichaa mkali sana si unamfahamu kichaa PAULO? "naitikia ndio.....si unajua anapiga watu? basi tafadhli usipite pale.

Na kweli kichaa Paulo alikuwa noma na alikuwa na pumzi ya ajabu, alikuwa na uwezo wa kukimbia siku nzima bila kupumzika, pia mara chache shangazi yangu aliyekuwa akiishi pale mjini moshi, wakati wa likizo alikuwa akinichukua kwenda kupumzika kwake.

Sasa pale mjini Moshi kulikuwa na vichaa wengi sana na ajabu wengi wao walitokes sehemu iitwayo URU, unaopatikana sehemu iitwayo kishumundu, sio kwamba nazodoa, hapana watu wa URU wana akili sana ndo manake wengi wao ni maingeneer. Sasa wale ambao hawakuendelea na shule ili akili zipoozwe ndo walikuwa wakidata.

Anyway ilikuwa ni vurugu, huwezi toka mpaka uongozane na mkubwa. Hata ukisoma Biblia, YESU alimkuta kichaa mkali sana, unaambiwa kwa mujibu wa maandishi huyo chizi alikuwa na nguvu za ajabu na alikuwa na mapepo kibao kichwani (sijui ndo majini)

Unaambiwa YESU likomaa nao mpaka ikabidi ayaamrishe yale majini yaende kuwaingilia nguruwe, na waliwaingilia nguruwe nao nguruwe walichizika kama wamekula msuba, wote walikimbilia mtoni.

Sasa tuje kwenye vichaa hawa wa DOTCOM, vichaa hawa bwana wamekuwa wavivu sana, hawakimbii tena. Hata kutembea kwao wananyata, kuongea hawaongei achana na kupiga kelele kama vichaa wa longi, kutwa wamelala majalalani. Yaani sasa hivi kama kichaa kalala barabrani unamkamata mguu na kumvutia kando ya barabara huku yeye akikuangalia kwa jicho la huzuni!

Vichaa wa sasa hivi ni wembamba kama miwa, tofauti na wa zamani waliokuwa na kifua kama mandonga. Vichaa wa siku hizi hawabaki akina dada kama wa zamani wala hawapigi punyeto kama wa zamani, wala hawatembei uchi kama wa zamani!

Lakini katika kutafakari sana nikagundua jambo moja. Inawezekana utitiri wa makanisa ya walokole na kuongezeka kwa walokole na mikesha yao ya usiku na mchana, imesababisha hawa majini wanaoshi ndani ya vichwa vya hawa vichaa, kupooza na kunyon'gonyea kabisa, au nimekosea mazee?
Oyaaa sio poa kweli kichaa anachekesha akiwa hatokei familia yako. Nikiwa singida kuna kichaa alikua anadamka asubuhi anakaa sehemu wanapita watoto wa chuo cha uhazili basi wakioita mwamba anawafuata kwa nyuma anajichukulia sheria mkononi akishakitupa anarudi pale alipokaa tena anatega yule mwamba kwa siku sijui alikua anapiga vingapi ila dah nilikua nacheka sana.
 
Naona wanalalamikia mpaka uhaba wa vichaa.
 
Kuna kichaa na mwendawazimu,hakuna kichaa mpole,kichaa no mawe tu kwenda mbele,hao wapole no wendawazimu
Ww mtu umenivunja mbavu! Hakuna tofauti yoyote kati ya kichaaa na mwendawazimu! Wote ni kitu kimoja tu ila Kuna wakati na wakati huvurugwa
 
Ma skanka labda unakuta mtu kakonda.zaman enz hizo za nyonya dam tuliwah kukimbia shule nzima kwa habar za kusambaa kuwa nyonya dam wapo.hivi aliyewah kupata taharuk ile ilikuwaje?
 
Ww mtu umenivunja mbavu! Hakuna tofauti yoyote kati ya kichaaa na mwendawazimu! Wote ni kitu kimoja tu ila Kuna wakati na wakati huvurugwa
Mwendawazimu havurugwi,kila siku mpole,kichaa Hana upole,yaani hata kuongea ni kisharishari
 
Back
Top Bottom