Vichekesho vya TFF na Play-Offs za Daraja la Kwanza

Vichekesho vya TFF na Play-Offs za Daraja la Kwanza

Hata mimi bado sijaielewa tiefuefu yaan uliona wapi timu inashuka ligi uku inakuja chini inacheza mechi mbili inarudi ligi uku tena msimu huu huo daaaah ndio maana kila nikifatilia vya nyumbani ulaya pananivutia narudi
Yaani timu Kagera Sugar na Mwadui wamecheza ligi kuu na la kwanza kwa msimu mmoja na kurudi tena Ligi Kuu.
 
Hapa ndio umeharibu kabisa!! Kwani hujui kuna dirisha la usajili na maandalizi kabla ya ligi kuu kuanza..... Lazima wangesajili wachezaji na makocha wenye ubora ili timu iwe na ushindani mfano wolves kma ingecheza playoff last season isingepanda maana haikua na timu ya kupambana ligi kuu ila wote tulishuhudia dirisha kuu walisajili wachezaji wengi sana na imefanikiwa kuingia top 6 ya EPL.

So hii hoja yako haina mashiko kwamba kufungwa wakiwa daraja la kwanza basi hawawezi kuifunga simba msimu ujao wakiwa ligi kuu.
Acha kupotosha wolves haijaingia top6
 
Acha kupotosha wolves haijaingia top6
Whatever ni ya 7 ila hoja imeeleweka kwamba imepanda daraja imekua competitive hadi kuwa best team after "Top 6" kitu ambacho wasingeweza kabla hawajapanda daraja. Hivyo playoff sio kigezo cha kupima ubora wa timu inayopanda daraja.
 
Kama ilivyotarajiwa timu za daraja la kwanza, Pamba na Geita Gold zimebaki kule kule baada ya kuvuja jasho na damu ili zipande Ligi Kuu, matokeo yake ukabuniwa mtindo sijui wa wapi eti play-off na timu zilizoshuka Ligi Kuu!!!!! Mwisho wa siku zile za Ligi Kuu zimerudi huko huko badala ya kushuka. TIFUTIFU nyambavu kabisa hii.
TFF kuongozwa na wasiowahi kucheza soka mnategemea nini ?
 
Back
Top Bottom