Vicky Kamata afunga Ndoa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Dk. Likwelile

Kwa wanawake wote. Wazee wazuri sawa, bao moja yeye kalizika.Kwa life span ya Tanzania mzee kama huyo afte 20 years atakuwa amekufa, unakuwa mjane. Ng’ombe hazeeki maini ila vipi akizeeka? Unaanza kutafuta vijana wakukutoa hamu zako. Wakina Jackline Mengi, Nancy Sumari na huyu Vicky Kamata ni wahanga wa tatizo hili hapo baadae
 
Acha kumtaja Nancy Sumari kwenye listi ya walio olea na wazee, kama hujui jambo tulia Luca mume wa Nancy bado ni kijana kabisa.
 
Mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, hiv mbuzi umemfugia kibaha majani ale kigilagila hayo yanawezekana? hawa wote walikuwa wizara ya fedha kwa nn asile kuku wake wa kienyeji maeneo alipo?
 
Kufa kufa
Kufa kufaana
 
huyu mwanamke utawala huu wa jiwe hana bahati nao.

kale ka wimbo kake sasa... wanawake na maendeleo tufanye kazi tusonge mbele, yelelele-yelelele wanawake yelelele-yelelele akina mama.... [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…