Amemuoa Au Amemuokoa, Na Majonzi Aliyokuwa Nayo, Mara Baada Ya Kugonga Mwamba Kuolewa Na Huyo Mwanaume Wake!!!!!?? Sasa Kama Msingi Wa Ndoa Yenyewe Ni Huo, Je, Siku Hayo Majonzi Yatakapokuwa Yameisha, Ni Kipi Kitafuata Kati Yao!!! Nadhani Hiyo Ni Story Tu, Kujaribu Kuwaficha Watanzania Ukweli Wenyewe, Kinachoonekana Walikuwa Na Uhusiano Kitambo Tu!! Suala La Ndoa Sio La Kukurupuka Tu Kiasi Hicho!! Ukizingatia Na Nafasi Za Ktk Jamii!!!