Kamamaa
Member
- Feb 12, 2010
- 15
- 4
Nimekuelewa sana. Uko sahihi kabisaHakufunga ndoa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango; amefunga ndoa na Dk. Servacius Likwelile ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuelewa sana. Uko sahihi kabisaHakufunga ndoa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango; amefunga ndoa na Dk. Servacius Likwelile ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango.
Mnalialia hapa wenzenu wanachapana!
Yakheeesasa bro umezungumza sawa, lakini huyo katibu wenu mkuu hakusoma hizo habari za ajabuajabu za huyo dada? kujihusisha nae ndio kusema naye anahusika na habari za ajabuajabu vilevile ndio wakakutana....
bhaa!....kalamu nyekundu[emoji22]hata atakapokuwa anapenyeza atambue kabisa mlango huo huo umepenywa na mutu mukubwa sana nchi hii,means kama ingekuwa kuna kadaftari kakusaini juu,angekuta sahihi nyekundu pale
zali la mentaliii (in Juma nature's voice)Watu wana bahati sana
Aliyekuwa mmiliki wa mabasi ya KAMATA.vicky kamata ndio nan?
dadavua zaidiHatimae....