Vicky Kamata afunga Ndoa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Dk. Likwelile

Vicky Kamata afunga Ndoa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Dk. Likwelile

Hajakata tamaa[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Humkumbuki? si yule tulikuwa tunasubiria kumuona kanisani tukashtukia yupo wodini amelazwa.
 
hata atakapokuwa anapenyeza atambue kabisa mlango huo huo umepenywa na mutu mukubwa sana nchi hii,means kama ingekuwa kuna kadaftari kakusaini juu,angekuta sahihi nyekundu pale
Nimecheka sana. Wino mwekundu sio?
 
Wacha waseme mwisho watachoka We VCKY KAMATA fursa twende zetu.
 
Ndio mana bado anakula salary kutoka BOT
Hili la kuendelea kupokea mshahara BOT ndiyo mjadala mzito na mkuu hasa nyakati hizi za kutumbua majipu? Hata kama hili sio lengo la mleta mada, kwanini tusitafute ukweli na wahusika watumbuliwe?

Inashangaza sana kuona tunajadili wenye hela ndiyo kila kitu sijui ni wivu au laa! uhalali wa ndoa yao, kutoa pongezi, tunaacha hoja ya msingi na inayotuhusu kuhoji kwanini mbunge aendelee kula salary kutoka BOT!. Je kuna connection yeyote na DR? Kama sio Dr nani ni mhusika katika dili hili?

Natamani siku moja kuona TZ ya kweli yenye watu wa kweli ambayo hata aliyekufa akigundulika alihusika kwenye kuhujumu taifa hili kufuli kubwa lifungwe kwenye kaburi lake na iandikwe historia kwenye vitabu ili liwefunzo hata kwa vizazi vijavyo sio hii ya kutumbua vijipu tena na sindano uchafu bado unabaki ndani, then baada ya muda mfupi tu jipu jingine kubwa zaidi linaota tena palepale.
 
Mmmh kweli auliwe mtu na pesa upake damu watu wataifuta watanunua misaafu na biblia
 
Nimeshtuka kuona wanaume wengi humu wivu umewashika juu ya ndoa hii,
nimeendelea kupekua pekua nimegundua tena hawakupenda Vicky aolewe,

Sasa nimebaki najiuliza,
Walitaka waolewe wao? Oooouch!!!

Ama kweli Dunia ipo ukingoni.
 
sasa bro umezungumza sawa, lakini huyo katibu wenu mkuu hakusoma hizo habari za ajabuajabu za huyo dada? kujihusisha nae ndio kusema naye anahusika na habari za ajabuajabu vilevile ndio wakakutana....
Dokta yupo busy anafanya research
 
Gazeti la Tanzania Daima likekwisha sasa ni Udaku tu, kwa nini hiyo habari hawakuikamilisha? Kwa nini hawatuambii kwamba marehemu Msanchi Simbeye hakuwa mke wa ndoa wa Dr na ndio maana hata hiyo harusi haikupata kibali cha kanisani. Kama vicky alibwagwa siku ya harusi na Dr. Ni mjane na wote ni wakristo tena wakatoliki, kwa nini hawakufungia hiyo ndoa kanisani? Je ni kweli Dr Likwelile hana mke wa ndoa? aliyezaa nae watoto? familia inayojulikana tangu wakati alipokua chuo kikuu kabla hata hajasemekana kuwa ni mume wa yule dada wa kwenye ofisi ya idara yake pale chuo kikuu? Je hakuna shauri linalohusu ndoa ya mhusika hapa ama kwenye vyombo vya dini, ama idara zinazohusika hata hili gazeti libebe habari isiyokamilika? Au tu walitaka kutoa umbea wa maisha ya watu, tena ya siri mbele ya jamii? wanamjengea ama kumdhalilisha katibu wetu mkuu? maana huyo dada hatumshangai kwa habari za ajabu ajabu,
Duuu! mkuu Tanzania Daima liliandika habari ya heri kwa wanadoa hawa, ili ndoa yao iheshimiwe aliemdhalilisha Dr. ni WEWE kwa kuwa umetoa mambo yake ya SIRI HADHARANI hatukujua kuwa alikuwa na mahusiano na dada wa ofisi yake hapo chuo, loooh! kweli umewaonea gazeti kuwalaumu kutoa siri za watu, wa kulaumiwa kwa hilo ni wewe.
 
Gazeti la Tanzania Daima likekwisha sasa ni Udaku tu, kwa nini hiyo habari hawakuikamilisha? Kwa nini hawatuambii kwamba marehemu Msanchi Simbeye hakuwa mke wa ndoa wa Dr na ndio maana hata hiyo harusi haikupata kibali cha kanisani. Kama vicky alibwagwa siku ya harusi na Dr. Ni mjane na wote ni wakristo tena wakatoliki, kwa nini hawakufungia hiyo ndoa kanisani? Je ni kweli Dr Likwelile hana mke wa ndoa? aliyezaa nae watoto? familia inayojulikana tangu wakati alipokua chuo kikuu kabla hata hajasemekana kuwa ni mume wa yule dada wa kwenye ofisi ya idara yake pale chuo kikuu? Je hakuna shauri linalohusu ndoa ya mhusika hapa ama kwenye vyombo vya dini, ama idara zinazohusika hata hili gazeti libebe habari isiyokamilika? Au tu walitaka kutoa umbea wa maisha ya watu, tena ya siri mbele ya jamii? wanamjengea ama kumdhalilisha katibu wetu mkuu? maana huyo dada hatumshangai kwa habari za ajabu ajabu,


Sasa hapa mbeya na mdaku ni nani, Mtanzania Daima au wewe?
 
Back
Top Bottom