Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mi nashangaaMnalialia hapa wenzenu wanachapana!
Mkuu umesahau kuwa tunajaribu kuishi maisha ya Kimagharibi ambayo hatuyawezi? Kiutamaduni mwanaume mwafrika anapaswa kuwa na zaidi ya mke mmoja! Hizi hoja mara ndoa halali, au haramu ni maneno tu. Ndio maana ndoa ni kama formality tu. Watu wako kwenye ndoa lakini michepuko ni sehemu ya maisha yao! Kufunga ndoa Africa ni kuhalalisha tu kuishi pamoja na mwenzi wako lakini haizuii mtu kuwa na mahusiano nje ya ndoa.
Nyani haoni kundule ....
Ha ha ha haI agree....na aliye na miaka 40 kwenda mbele na hana mke zaidi ya mmoja na awe wa kwanza kutupa jiwe kwa wanadamu hawa....
Ndio vicky catchvicky kamata ndio nan?
Ameamua kujilipuaNAHISI HUYU DK ANAITAMANI SEGEREAA AISEE ANAJUA KILICHOMFUNGA BABUNYEYA??
Huu ndio ukweli tena ukweli mchungu...Mkuu umesahau kuwa tunajaribu kuishi maisha ya Kimagharibi ambayo hatuyawezi? Kiutamaduni mwanaume mwafrika anapaswa kuwa na zaidi ya mke mmoja! Hizi hoja mara ndoa halali, au haramu ni maneno tu. Ndio maana ndoa ni kama formality tu. Watu wako kwenye ndoa lakini michepuko ni sehemu ya maisha yao! Kufunga ndoa Africa ni kuhalalisha tu kuishi pamoja na mwenzi wako lakini haizuii mtu kuwa na mahusiano nje ya ndoa.
Nyani haoni kundule ....
Hamchoki tu kuzusha, waacheni watu wapumzike na tuwape heshima zao, mna gubu sana watanzania.Ohooo! Dr atamfuata Lupango Babu Seya! Anakula msiso wa mswahili mstaafu!!!
Ni afadhali yeye hao anaowakimbilia humthamini kwa ndoa, hujajua kizazi chako kitakuwaje, tuache dharau.hatimaye baada ya kukimbilia waume za watu sasa kawa kipoozeo cha wazee
hongera mh
hata atakapokuwa anapenyeza atambue kabisa mlango huo huo umepenywa na mutu mukubwa sana nchi hii,means kama ingekuwa kuna kadaftari kakusaini juu,angekuta sahihi nyekundu pale
Ukatoliki ni dini ya kupanga hata Papa Benedicti alisema hilo ndio maana kuna mizengwe isiyo na maana. Mwanaume hana mke na mwanamke hana mume lakini bado unazusha vizuizi. Ndo maana Dk Slaa akaenda kuoa CanadaGazeti la Tanzania Daima likekwisha sasa ni Udaku tu, kwa nini hiyo habari hawakuikamilisha? Kwa nini hawatuambii kwamba marehemu Msanchi Simbeye hakuwa mke wa ndoa wa Dr na ndio maana hata hiyo harusi haikupata kibali cha kanisani. Kama vicky alibwagwa siku ya harusi na Dr. Ni mjane na wote ni wakristo tena wakatoliki, kwa nini hawakufungia hiyo ndoa kanisani? Je ni kweli Dr Likwelile hana mke wa ndoa? aliyezaa nae watoto? familia inayojulikana tangu wakati alipokua chuo kikuu kabla hata hajasemekana kuwa ni mume wa yule dada wa kwenye ofisi ya idara yake pale chuo kikuu? Je hakuna shauri linalohusu ndoa ya mhusika hapa ama kwenye vyombo vya dini, ama idara zinazohusika hata hili gazeti libebe habari isiyokamilika? Au tu walitaka kutoa umbea wa maisha ya watu, tena ya siri mbele ya jamii? wanamjengea ama kumdhalilisha katibu wetu mkuu? maana huyo dada hatumshangai kwa habari za ajabu ajabu,
Mkeo ulimkuta na hicho kidaftari !? ...... maana mpaka Kingwendu kapita !hata atakapokuwa anapenyeza atambue kabisa mlango huo huo umepenywa na mutu mukubwa sana nchi hii,means kama ingekuwa kuna kadaftari kakusaini juu,angekuta sahihi nyekundu pale
Ni kawaida ya watu wa chamaNaona Dk.kamfuta mchozi Vicky
unaijua dharau wewe au nawewe ndo kipoozeo cha wazeeNi afadhali yeye hao anaowakimbilia humthamini kwa ndoa, hujajua kizazi chako kitakuwaje, tuache dharau.
Kwa nini u quote habari nzima?Vipi ile ndoa iliyoshindikana mwaka jana?
Hiyo kazi ya mods umeianza lini?Kwa nini u quote habari nzima?