Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Umeonaeeeeee?Ndio mana bado anakula salary kutoka BOT
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeonaeeeeee?Ndio mana bado anakula salary kutoka BOT
Naona huyu katibu mkuu anatauta uadui na familia ya wakwereAnafananaje tena huyo dada? Nlikuwa naskia story zake tangu nipo masekondary and all i heard ni kwamba alikuwa chakula ya wakubwa..[emoji14]
Dada vipi mbona unarusha ngumi hewani? Au unaona wivu kidosho mwenzako kapata ndoa nawewe unaendelea kujiburuza kona bar?lione utashikwa makalio kwa umbea
Ni kutojitambua tu, mkuu kwani ni wanawake wangapi wana fedha lkn wanajiheshimu?kitungwe kitabu kuhusiana na maisha ya vicky kamata , yaani ukiwa na hela tu basi ! duh !
Kuliko lile linaloshinda ubaoni kila siku?gazeti linafungiwa vitumbua na mihogo na kufungia kila uchafu la uhuru na mzalendoGazeti la Tanzania Daima likekwisha sasa ni Udaku tu, kwa nini hiyo habari hawakuikamilisha? Kwa nini hawatuambii kwamba marehemu Msanchi Simbeye hakuwa mke wa ndoa wa Dr na ndio maana hata hiyo harusi haikupata kibali cha kanisani. Kama vicky alibwagwa siku ya harusi na Dr. Ni mjane na wote ni wakristo tena wakatoliki, kwa nini hawakufungia hiyo ndoa kanisani? Je ni kweli Dr Likwelile hana mke wa ndoa? aliyezaa nae watoto? familia inayojulikana tangu wakati alipokua chuo kikuu kabla hata hajasemekana kuwa ni mume wa yule dada wa kwenye ofisi ya idara yake pale chuo kikuu? Je hakuna shauri linalohusu ndoa ya mhusika hapa ama kwenye vyombo vya dini, ama idara zinazohusika hata hili gazeti libebe habari isiyokamilika? Au tu walitaka kutoa umbea wa maisha ya watu, tena ya siri mbele ya jamii? wanamjengea ama kumdhalilisha katibu wetu mkuu? maana huyo dada hatumshangai kwa habari za ajabu ajabu,
Ndege wa rangi moja daima huruka pamojasasa bro umezungumza sawa, lakini huyo katibu wenu mkuu hakusoma hizo habari za ajabuajabu za huyo dada? kujihusisha nae ndio kusema naye anahusika na habari za ajabuajabu vilevile ndio wakakutana....
kama mke aliyefariki ni " Msanchi Simbeye" imawezekana dr bado ana ndoa halali na nyingine haramu.
ila wakubwa wanafaidi duh!
Hakufunga ndoa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango; amefunga ndoa na Dk. Servacius Likwelile ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango.
wangepima kabisa, maana wa msoga na amatus majalada yao yana figisu.Walipima kabla?
Gazeti la Tanzania Daima likekwisha sasa ni Udaku tu, kwa nini hiyo habari hawakuikamilisha? Kwa nini hawatuambii kwamba marehemu Msanchi Simbeye hakuwa mke wa ndoa wa Dr na ndio maana hata hiyo harusi haikupata kibali cha kanisani. Kama vicky alibwagwa siku ya harusi na Dr. Ni mjane na wote ni wakristo tena wakatoliki, kwa nini hawakufungia hiyo ndoa kanisani? Je ni kweli Dr Likwelile hana mke wa ndoa? aliyezaa nae watoto? familia inayojulikana tangu wakati alipokua chuo kikuu kabla hata hajasemekana kuwa ni mume wa yule dada wa kwenye ofisi ya idara yake pale chuo kikuu? Je hakuna shauri linalohusu ndoa ya mhusika hapa ama kwenye vyombo vya dini, ama idara zinazohusika hata hili gazeti libebe habari isiyokamilika? Au tu walitaka kutoa umbea wa maisha ya watu, tena ya siri mbele ya jamii? wanamjengea ama kumdhalilisha katibu wetu mkuu? maana huyo dada hatumshangai kwa habari za ajabu ajabu,
Ni mdada anayekamata kamata watu wazito, kama upo na chapaa ipo siku utamjua.vicky kamata ndio nan?