Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha ni Sanaa na Vick ni msanii kama akina Wema na Diamond.Ni mdada anayekamata kamata watu wazito, kama upo na chapaa ipo siku utamjua.
Aibu ya nini mwili wako mwenyewe na maisha ni yako,kwa raha zakeHivyo huyu mama haoni aibu kwani tendo la kupata ndoa ni sawa na kupanda daladala?
Men r very selfishNimeshtuka kuona wanaume wengi humu wivu umewashika juu ya ndoa hii,
nimeendelea kupekua pekua nimegundua tena hawakupenda Vicky aolewe,
Sasa nimebaki najiuliza,
Walitaka waolewe wao?
Ama kweli Dunia ipo ukingoni.
Wewe naona ndoa yako ni pale kona barAibu ya nini mwili wako mwenyewe na maisha ni yako,kwa raha zake
Uzuri hajakanusha.basi sawa.Hakufunga ndoa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango; amefunga ndoa na Dk. Servacius Likwelile ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango.
Soma tena ulichoandika.Hakufunga ndoa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango; amefunga ndoa na Dk. Servacius Likwelile ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango.
Teh tehwangepima kabisa, maana wa msoga na amatus majalada yao yana figisu.
Ana ndoa halali ya nani??
Mkewe wa awali si amekufa?
So hana haki ya kuoa tena?
Mkuu umesahau kuwa tunajaribu kuishi maisha ya Kimagharibi ambayo hatuyawezi? Kiutamaduni mwanaume mwafrika anapaswa kuwa na zaidi ya mke mmoja! Hizi hoja mara ndoa halali, au haramu ni maneno tu. Ndio maana ndoa ni kama formality tu. Watu wako kwenye ndoa lakini michepuko ni sehemu ya maisha yao! Kufunga ndoa Africa ni kuhalalisha tu kuishi pamoja na mwenzi wako lakini haizuii mtu kuwa na mahusiano nje ya ndoa.Gazeti la Tanzania Daima likekwisha sasa ni Udaku tu, kwa nini hiyo habari hawakuikamilisha? Kwa nini hawatuambii kwamba marehemu Msanchi Simbeye hakuwa mke wa ndoa wa Dr na ndio maana hata hiyo harusi haikupata kibali cha kanisani. Kama vicky alibwagwa siku ya harusi na Dr. Ni mjane na wote ni wakristo tena wakatoliki, kwa nini hawakufungia hiyo ndoa kanisani? Je ni kweli Dr Likwelile hana mke wa ndoa? aliyezaa nae watoto? familia inayojulikana tangu wakati alipokua chuo kikuu kabla hata hajasemekana kuwa ni mume wa yule dada wa kwenye ofisi ya idara yake pale chuo kikuu? Je hakuna shauri linalohusu ndoa ya mhusika hapa ama kwenye vyombo vya dini, ama idara zinazohusika hata hili gazeti libebe habari isiyokamilika? Au tu walitaka kutoa umbea wa maisha ya watu, tena ya siri mbele ya jamii? wanamjengea ama kumdhalilisha katibu wetu mkuu? maana huyo dada hatumshangai kwa habari za ajabu ajabu,
Ohooo! Dr atamfuata Lupango Babu Seya! Anakula msiso wa mswahili mstaafu!!!Mapenzi na hela vinatawala dunia