Vicky Kamata afunga Ndoa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Dk. Likwelile

Vicky Kamata afunga Ndoa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Dk. Likwelile

Vicky ni mwanamke mrembo sana, DR. kapata mke ushaui wake wa bure, atulie aiheshimu ndoa yake na kwa kuwa kashaumizwa hadharani na watu wanamuhesabu kama mwanamke malaya, awaoneshe kuwa kuna maisha baada ya kuolewa henda ikawa mwanzo hakuwa na uhakika kama yuko tayari kuwa mke au anataka maisha ya kuonja onja. Aangalie watoto wake asifanye ya hovyo akaja kushindwa kuwakanya watakapo kuwa watu wazima. Ndoa na iheshimiwe na watu wote kila la heri MRS. DR.
 
MALAYA HUWA ANATAFUTA HELA KWA KUTUMIA MWILI WAKE, SASA HUYU MAMA NA UMRI WA LIKWELILE WAPI NA WAPI? BY NECESSARY INFERENCE, IT IS IRRESISTIBLE TO DRAW SUCH A CONCLUSION


Mkuu karibu wanawake wote wana matendo sawa sawa ni viwango tu vinakua tofauti. Huyo kaamua kua wazi lkn wengi tu 'wanauza' nyuchi ila sema ndio ivyo hawajioneshi. We unadhani kwa nn humu watu wanalalamika kupigwa mzinga na wasichana mara kwa mara?
 
Ukishasema mkeo kafa moyo unarudi nyuma, labda useme alipata ajali.
 
Back
Top Bottom