share
JF-Expert Member
- Nov 22, 2008
- 6,064
- 10,468
Tayari Magu keshamtumbua. Ukatibu Mkuu chali!!!!!hata mimi namhofiamaana anatuvyeovyeo twa kimataifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari Magu keshamtumbua. Ukatibu Mkuu chali!!!!!hata mimi namhofiamaana anatuvyeovyeo twa kimataifa
The Dr has now been sacked........could this be among the "dots"?Ndio mana bado anakula salary kutoka BOT
Duh! Kwe Tz vichwa vya mwendawazimu.Katumbua jipu au kaweka mtu wake ?
Kwahiyo kumbe huu utumbuaji ni manjonjo tu , ni kutoa watu wa jk na kupachika wake siyo ?Yote sawa tu mkuu...huwezi kuteua adui yako akufanyie kazi lazima utamuweka mtu wako ili kijiridhisha
Unadhani Mapovu mithili ya mgonjwa wa kifafa yatasaidia chochote ?Duh! Kwe Tz vichwa vya mwendawazimu.
Kwaiyo ulitaka amuweke Baba yako ili u'comment vzuri humu?
Rotten!
Tatizo unakuta hawa jamaa wameset traits za maisha ambazo ni za kufikirika badala ya uhalisia, kama hivi sado ya nyaya buku lakini yeye anasema za shoppers ndizo nzuri na bei yake ikuwa elfu 20 labda!Hata hivyo ng'ombe akikonda hawezi kufanana na sungura (huwa tunajifariji hivi), kwa position yake si haba bado anazo mfukoni sema wazee wengi wa serikali hata kama apewe milioni 500 huwa zinaisha mdogomdogo
Mkuu naona unajimu wako ukitimia! Au unasemaje?Hana Upendo yeye anafuata pesa tu huyo katibu mkuu akipasuliwa JIPU atahamia Kwa Gavana mkuu wa BOT .
Mh ila atapangiwa kazi nyingine!Tayari Magu keshamtumbua. Ukatibu Mkuu chali!!!!!
Ndo maana wamefunga bomani!kama mke aliyefariki ni " Msanchi Simbeye" imawezekana dr bado ana ndoa halali na nyingine haramu.
ila wakubwa wanafaidi duh!
asnte kwa mchango wako mzitohayo sisi kina gogo la shamba huwa hatuchangii kabisa
Huyu ni Dr. wa ukweli, alinifundisha UDTatizo unakuta hawa jamaa wameset traits za maisha ambazo ni za kufikirika badala ya uhalisia, kama hivi sado ya nyaya buku lakini yeye anasema za shoppers ndizo nzuri na bei yake ikuwa elfu 20 labda!
Any way kwa vile ni Dr. ataenda chuo chochote awe anapiga lecture kama kweli udokta wake haufanani na profesa mwenyekiti!