Likwelile ameshapigwa chini kitamvo tu, yupo chini ya uchunguzi wa Takukuru.Huyo katibu ataweza kutekeleza ilani ya chama akamridhisha huyo mrembo kweli? Huyo mtoto Vicky bado mbichi kabisa kwa hiyo hata UHAKIKI anaopaswa kufanyiwa inabidi usiwe mvivu! Wasije vijana wakamsaidia kumpiga MTI huyo dada. Lakini anyway kila la heri
Zipi hizo habari za ajabu ajabu za kamata mimi sizijui nipe kaubuyu kidogo ndugusasa bro umezungumza sawa, lakini huyo katibu wenu mkuu hakusoma hizo habari za ajabuajabu za huyo dada? kujihusisha nae ndio kusema naye anahusika na habari za ajabuajabu vilevile ndio wakakutana....
mkuu... soma tena nadhani hukumfahamu huyu uliyemjibu...umekwenda chaka!Likwelile ameshapigwa chini kitamvo tu, yupo chini ya uchunguzi wa Takukuru.
Nimekukubali [emoji119][emoji119][emoji119]mume ni huyu... Likwe...
Pai alipaa tena kusudi.
Ilikuwa ni kumkomoa mtu pale na yeye pasipo kujua akaingia kingi!
Chezea SaLma wewe.. ...
karambaza mpaka kamlipiza !
Shkamoo mapenziiiii... ...
Hivi hiyo ndoa bado ilikuwepo ?Pole sana kwa Vicky ππ
Vicky ndio katoa taarifa za kufiwa na mumeHivi hiyo ndoa bado ilikuwepo ?
Kwa wanawake wote. Wazee wazuri sawa, bao moja yeye kalizika.Kwa life span ya Tanzania mzee kama huyo afte 20 years atakuwa amekufa, unakuwa mjane. Ngβombe hazeeki maini ila vipi akizeeka? Unaanza kutafuta vijana wakukutoa hamu zako. Wakina Jackline Mengi, Nancy Sumari na huyu Vicky Kamata ni wahanga wa tatizo hili hapo baadae
Kwani alikakosa heshima gani kuolewa.Ni kutojitambua tu, mkuu kwani ni wanawake wangapi wana fedha lkn wanajiheshimu?
Wewe unangoja nini?Hiyo sio ndoa ni kukamata fursa.