Vicky Kamata afunga Ndoa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Dk. Likwelile

Vicky Kamata afunga Ndoa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Dk. Likwelile

Huyo katibu ataweza kutekeleza ilani ya chama akamridhisha huyo mrembo kweli? Huyo mtoto Vicky bado mbichi kabisa kwa hiyo hata UHAKIKI anaopaswa kufanyiwa inabidi usiwe mvivu! Wasije vijana wakamsaidia kumpiga MTI huyo dada. Lakini anyway kila la heri
 
Huyo katibu ataweza kutekeleza ilani ya chama akamridhisha huyo mrembo kweli? Huyo mtoto Vicky bado mbichi kabisa kwa hiyo hata UHAKIKI anaopaswa kufanyiwa inabidi usiwe mvivu! Wasije vijana wakamsaidia kumpiga MTI huyo dada. Lakini anyway kila la heri
Likwelile ameshapigwa chini kitamvo tu, yupo chini ya uchunguzi wa Takukuru.
 
sasa bro umezungumza sawa, lakini huyo katibu wenu mkuu hakusoma hizo habari za ajabuajabu za huyo dada? kujihusisha nae ndio kusema naye anahusika na habari za ajabuajabu vilevile ndio wakakutana....
Zipi hizo habari za ajabu ajabu za kamata mimi sizijui nipe kaubuyu kidogo ndugu
 
Great thinker
Kwa wanawake wote. Wazee wazuri sawa, bao moja yeye kalizika.Kwa life span ya Tanzania mzee kama huyo afte 20 years atakuwa amekufa, unakuwa mjane. Ng’ombe hazeeki maini ila vipi akizeeka? Unaanza kutafuta vijana wakukutoa hamu zako. Wakina Jackline Mengi, Nancy Sumari na huyu Vicky Kamata ni wahanga wa tatizo hili hapo baadae
 
Back
Top Bottom