Vicky Kamata afunguka kuhusu ndoa yake

huyo aliyekuwa mchumba wangu? du hii sentensi inamaana gani? kwani sasa sio mchumba wake?
 

Mmmmh nahisi bado Mbunge Vicky anaumwa wampime vizuri, Yani Ndoa ifungwe kanisani wakaachane mahakamani nawewe ukubali useme walipeana taraka????Uyo bado mume wa mtu hadi mkewe afe na si mahakama kuvunja, Nakushauri Tafuta wako dada Mbunge!!
 
Huyu tayari Miles-gauge imesoma saana , na bado wa-kulu waendelea kubutua..sasa nani abebe huo mzigo? Ana watoto wawili..kwanini hao baba watoto..asiamua mmoja kufunga nae ndoa? Sio bure..ana kasoro huyu mwanamke!
 
Huyu tayari Miles-gauge imesoma saana , na bado wa-kulu waendelea kubutua..sasa nani abebe huo mzigo? Ana watoto wawili..kwanini hao baba watoto..asiamua mmoja kufunga nae ndoa? Sio bure..ana kasoro huyu mwanamke!

Bonge la papuchiii yaaani oil seal Zimelegea kabisaaa sasa nani ataoa
 

Naungana nawe unakuta Mungu analaumiwaaa!
 
Drama in ze city!!!tumewachoka, mie nataka tanganyika yetu
 
Ningekuwa yeye wala.kusema.public nisingesema.
 
Au angenitafuta nimwandikie speech...maana amejikanganya kuliko hao 'waliomzushia'...

Jamani kama unachoongea hakina ukweli ni heri ukae kimya...hakuna kitu kigumu kama interview kama huna uzoefu wa kujibu maswali...hapa Vick amejimaliza mwenyewe...

Ndio maana utasiki kampuni inakwambia weka maswali yako kimaandishi; si wajinga wanaogopa kutoa siri bila kujua endapo wataruhusu interviews...

Ningekuwa mimi nisingeongea Ngo"do! unavyoongea ndivyo unavyozidi kuwapa watu maswali na kuendelea kusema wenyewe tulishasahau , tupo kwa Komba sasa unaturudisha nyuma lol!Mwanamke Tulia
 
Siasa mpaka kwenye ndoa? Naomba mwongozo wa spika
 
Dulayo anasema ''chezea vijana wa mujini wewe..?? Utakoma mwenyewe!!" Bwn harusi mjanja mjanja hasomeki bibie kazama gents....!
 
Huyu Dada Muongo aseee!!!

Sasa mbona mchumba hakwenda kumtembelea kipindi yuko Hospital??

Anaendelea na Shughuli zake..Tunawasiliana...Haya ni majibu ya kisiasa ..Afadhali angekaa kimya
 
Huyu tayari Miles-gauge imesoma saana , na bado wa-kulu waendelea kubutua..sasa nani abebe huo mzigo? Ana watoto wawili..kwanini hao baba watoto..asiamua mmoja kufunga nae ndoa? Sio bure..ana kasoro huyu mwanamke!

yani umeona ikulu yetu ni pango la makahaba?
 
Kanisa Katoliki halitambui talaka ya kuvunja ndoa iliyokwisha fungwa Kanisani....Kanisa halivunji ndoa bali ktk mazingira fulani baada ya juhudi za usuluhishi kushindikana ni kuwatenganisha (si kuvunja) na hapo hakuna kushiriki tendo na mtu mwingine labda upatane na mweza wako wa ndoa.Kifo pekee ndicho kina maliza uhai wa ndoa na hilo lilifafanuliwa pia na paroko ktk kanisa kulikopangwa kufungwa ndoa ya vicky.Nadhani Vicky awe honest tu kuwa aliingizwa chaka na hakujua.Wote ni binadamu na makosa ndio sifa yetu kuu asijali yote maisha tu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…