mkumbwa junior
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 835
- 1,608
Tofauti ni ndogoHii inafanana na ile ya Jacque Mengi !!?? Au hii itakua na utofauti
Ngoja tusubirie muendelezo maana kaapa hatokubali kudhulumiwa kilicho chake
kutoridhika bossSijui kwanini anapambania mali..
Ila Vicky sio masikini, Pesa anayo ya kutosha.
Tamaa labda mana waswahili hatuna kiasi.
Amepost wapi niende nikamtukane huyo Malaya,
Nakuomba msamaha mume wangu kwa kuwa mimi ni Mkatoliki na Imani yangu inaniambia unaona na unajua kila kitu kinachoendelea kati yangu na wanao.
Najua muda utaongea lakini kwa kuwa nami ni binadamu naomba niseme yafuatayo! Ni kweli mimi ni kiumbe dhaifu na mwenye dhambi nyingi tu kama wengine.
Lakini wanangu kwanini mnapindisha ukweli? Nimedhulumu mali gani? Nimemfukuza nani? Nyumba ipi? Wanangu hata kama ni chuki iwe na kiasi basii.
Sitaki kumuaibisha mume wangu lakini mnanichochea na kunisukuma wanangu! Niambie Dunia ukweli wa maisha yangu na Baba yenu? Alikuwa na pesa kunizidi yes! Lakini alikuwa na asset gani ya maana kunizidi mimi?
Baba yenu alikuwa na vinyumba vya kawaida na msululu wa watoto! Kwanini alipokuwa na Mama zenu hakufanya maendeleo? Leo mnanichafua na kunipaka matope kwa jasho langu? Mungu mnamjua nyie watoto?
Nimetoka familia masikini sana, na nimefika hapa kwa jasho la damu. Naomba sana mshangilie ushindi wenu kwa heshima! Sijafukuza mtu! Sijadhulumu na sintakuja kudhulumu maishani kwangu.
Nafanya kazi usiku na mchana kwa kuwa najua sina wa kunipa cha bure. Baba yenu hata swimming pool ameikuta kwangu. Na baadae nikachimba kwa pesa zangu ili nifurahie uzee wangu mimi na yeye. Bahati Mbaya Mungu kamuita mapema ange enjoy na alikuwa anaenjoy. Najua mnamuumiza sana. Tulieni sihitaji hata kijiko ambacho siyo cha jasho langu. Jasho la mama zenu mtalifaidi na mimi jasho langu hayupo wa kunidhulumu.
Maisha ni hadhithi tu. 🙏🙏🙏🙏
Pia, soma=> Kesi ya Mirathi ya Dkt. Likwelile: Vicky Kamata ashindwa, mahakama yasema ndoa yao haikuwa halali
Silaha ya mwanamke ni mdomo wakeAnasema hataki kumuaibisha aliyekuwa mume wake.
Alafu anaendelea kusema kwamba Baba yenu alikuwa na vinyumba vya kawaida na msululu wa watoto!
Sasa hapo si anamuaibisha aliyekuwa mume wake!
Ili upate cheo na hasa kuwa mbunge usipotoa cha mbele utatoa cha pembeni kama unacho. Chagua.Hawa wanaccm ifike mahali wawe wanapeana semina wao wa wao huku namna ya kuishi na watu, wanatia aibug sana na kutia aibu chama chao, manake wengi hasa hao wanawake wanaonekana kama ni wadangaji tu na gold diggers. waacheni watoto washangilie ushindi wa nyumba za baba yao.
Umezidi sasa. Punguza cheche ueleweke. Hatuendi hivyo.Amepost wapi niende nikamtukane huyo Malaya,
Kutoa uchi Ili awe mbunge nayo imekua shughuli ya jasho na damu?
Kama na yeye alikua na asset za kumtosheleza alifungua kesi ya nini?
Daah, huyu Mwanamke hatari sanaLikwelile alikuwa mwanaume msomi bwana. Vicky alimwambiaga una watoto wakubwa niandikie ulisi (in mume wa zamas voice hahaha) jamaa akaandika akampa. Afu jamaa akaandika mwingine hakumuhusisha Vicky chochote akaupekeleka kwa mwanasheria ukagongwa muhuri afu akampa dada yake na copy mwanasheria wake. Vicky zero kichwani wosia wake akauweka kwenye visanduku vyake. Mahakamani alipigwa butwaa wosia hauna stamp ya mwanasheria. Familia ya Likwelile haikutaka jamaa azikwe mjini, walitaka apelekwe kwao morogoro ila Vicky akajua hana chake mjini atafukuzwa akakomaa azikwe mjini. Kwa heshima ya baba yao Familia ilikubali ili kusiwe na migogoro ya kumuaibisha baba yao.
Alifuta, ilikuwa InstagramAmepost wapi niende nikamtukane huyo Malaya,
Kutoa uchi Ili awe mbunge nayo imekua shughuli ya jasho na damu?
Kama na yeye alikua na asset za kumtosheleza alifungua kesi ya nini?
Hawa wanaccm ifike mahali wawe wanapeana semina wao wa wao huku namna ya kuishi na watu, wanatia aibu sana na kutia aibu chama chao, manake wengi hasa hao wanawake wanaonekana kama ni wadangaji tu na gold diggers. waacheni watoto washangilie ushindi wa nyumba za baba yao.
Mkuu Azarel....Vicky ni mbaya, haipingiki......lakini unajua Maisha ya Marehemu lakini? Haukuishi kabisa kama ana ndoa.....Alitumia wadhifa wake hasa katika swala la kushibisha mahitaji yake ya ngono....! Alikuwa mtu wa Vimwana....Hata Marehemu alikuwa mtu hatari sana! Kukutana na Vicky ni hatari zilikutana! Aibu kwa Vicky hata familia na watoto.....Marehehemu alikuwa ni msomi, mchumi bora....usingetegemea mambo haya ya binafsi mitandaoni.Daah, huyu Mwanamke hatari sana
Angekaa kimya tu. Kuanza kudai alikuwa na vinyumba vya kawaida ni ujinga.
Kunyamaza kimya ingetosha.
Cathe amezeeka nowadays, halafu sijui kajichonga shepu, ila usoni amekongoroka sana. Nae yalimsibu alichukua mume wa mtu akafariki akaenda kupigana makaburini
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi ni chache sana nazo zimejaa taabu na dhiki. Baada ya kufa ni hukumu, tubu tengeneza mambo yako acha kulia lia.Alikuwa na msururu wa watoto, wewe unao wangapi?. Madanga na vimada dawa wao ndio hiyo tu.Najua mnamuumiza sana.
Halafu ni vile tu hajui, hii case kuna wazito behind the scene waliokuwa wanaangalia haki itendeke, Vick kudhani angeweza kumuhonga kila mtu ni kujitafutia kutumika bila sababu.
Vick vita yake ni ngumu cause mama mjengo hata kaa amsamehe abadani asilani na yuko naye sambamba kwenye kila vita.
Kijana alijazwa mihela akapita kushoto.
Hapana, ila sasa mwenyewe alijua atashinda ndio maana aliwambia watoto waende mahakamani ndiko watakapopata haki yao hakujua kama yatakuwa hivi. Ni kama alienda kuhalalisha dhuluma.Kwa hiyo huenda Kuna mashaka ktk uamuzi wa hiyo mirathi?
Aachilie naye bana mumewe mwenyewe anamjua udhaifu wake!
Huyu mpuuzi snWanawake bwana,msamaha umejaa kejeli kibao [emoji706]
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app