Vicky Kamata asema marehemu mume wake "Alikuwa na vinyumba vya kawaida na msururu wa watoto!"

Vicky Kamata asema marehemu mume wake "Alikuwa na vinyumba vya kawaida na msururu wa watoto!"

Hii inafanana na ile ya Jacque Mengi !!?? Au hii itakua na utofauti

Ngoja tusubirie muendelezo maana kaapa hatokubali kudhulumiwa kilicho chake
Tofauti ni ndogo

Huku Mke Alikufa kule Mke halali alipewa talaka
 

Nakuomba msamaha mume wangu kwa kuwa mimi ni Mkatoliki na Imani yangu inaniambia unaona na unajua kila kitu kinachoendelea kati yangu na wanao.

Najua muda utaongea lakini kwa kuwa nami ni binadamu naomba niseme yafuatayo! Ni kweli mimi ni kiumbe dhaifu na mwenye dhambi nyingi tu kama wengine.

Lakini wanangu kwanini mnapindisha ukweli? Nimedhulumu mali gani? Nimemfukuza nani? Nyumba ipi? Wanangu hata kama ni chuki iwe na kiasi basii.

Sitaki kumuaibisha mume wangu lakini mnanichochea na kunisukuma wanangu! Niambie Dunia ukweli wa maisha yangu na Baba yenu? Alikuwa na pesa kunizidi yes! Lakini alikuwa na asset gani ya maana kunizidi mimi?

Baba yenu alikuwa na vinyumba vya kawaida na msululu wa watoto! Kwanini alipokuwa na Mama zenu hakufanya maendeleo? Leo mnanichafua na kunipaka matope kwa jasho langu? Mungu mnamjua nyie watoto?

Nimetoka familia masikini sana, na nimefika hapa kwa jasho la damu. Naomba sana mshangilie ushindi wenu kwa heshima! Sijafukuza mtu! Sijadhulumu na sintakuja kudhulumu maishani kwangu.

Nafanya kazi usiku na mchana kwa kuwa najua sina wa kunipa cha bure. Baba yenu hata swimming pool ameikuta kwangu. Na baadae nikachimba kwa pesa zangu ili nifurahie uzee wangu mimi na yeye. Bahati Mbaya Mungu kamuita mapema ange enjoy na alikuwa anaenjoy. Najua mnamuumiza sana. Tulieni sihitaji hata kijiko ambacho siyo cha jasho langu. Jasho la mama zenu mtalifaidi na mimi jasho langu hayupo wa kunidhulumu.

Maisha ni hadhithi tu. 🙏🙏🙏🙏

Pia, soma=> Kesi ya Mirathi ya Dkt. Likwelile: Vicky Kamata ashindwa, mahakama yasema ndoa yao haikuwa halali
Amepost wapi niende nikamtukane huyo Malaya,
Kutoa uchi Ili awe mbunge nayo imekua shughuli ya jasho na damu?
Kama na yeye alikua na asset za kumtosheleza alifungua kesi ya nini?
 
Anasema hataki kumuaibisha aliyekuwa mume wake.

Alafu anaendelea kusema kwamba Baba yenu alikuwa na vinyumba vya kawaida na msululu wa watoto!

Sasa hapo si anamuaibisha aliyekuwa mume wake!
Silaha ya mwanamke ni mdomo wake
 
Hawa wanaccm ifike mahali wawe wanapeana semina wao wa wao huku namna ya kuishi na watu, wanatia aibug sana na kutia aibu chama chao, manake wengi hasa hao wanawake wanaonekana kama ni wadangaji tu na gold diggers. waacheni watoto washangilie ushindi wa nyumba za baba yao.
Ili upate cheo na hasa kuwa mbunge usipotoa cha mbele utatoa cha pembeni kama unacho. Chagua.
 
Amepost wapi niende nikamtukane huyo Malaya,
Kutoa uchi Ili awe mbunge nayo imekua shughuli ya jasho na damu?
Kama na yeye alikua na asset za kumtosheleza alifungua kesi ya nini?
Umezidi sasa. Punguza cheche ueleweke. Hatuendi hivyo.
 
Likwelile alikuwa mwanaume msomi bwana. Vicky alimwambiaga una watoto wakubwa niandikie ulisi (in mume wa zamas voice hahaha) jamaa akaandika akampa. Afu jamaa akaandika mwingine hakumuhusisha Vicky chochote akaupekeleka kwa mwanasheria ukagongwa muhuri afu akampa dada yake na copy mwanasheria wake. Vicky zero kichwani wosia wake akauweka kwenye visanduku vyake. Mahakamani alipigwa butwaa wosia hauna stamp ya mwanasheria. Familia ya Likwelile haikutaka jamaa azikwe mjini, walitaka apelekwe kwao morogoro ila Vicky akajua hana chake mjini atafukuzwa akakomaa azikwe mjini. Kwa heshima ya baba yao Familia ilikubali ili kusiwe na migogoro ya kumuaibisha baba yao.
Daah, huyu Mwanamke hatari sana
 
Amepost wapi niende nikamtukane huyo Malaya,
Kutoa uchi Ili awe mbunge nayo imekua shughuli ya jasho na damu?
Kama na yeye alikua na asset za kumtosheleza alifungua kesi ya nini?
Alifuta, ilikuwa Instagram
 
Hawa wanaccm ifike mahali wawe wanapeana semina wao wa wao huku namna ya kuishi na watu, wanatia aibu sana na kutia aibu chama chao, manake wengi hasa hao wanawake wanaonekana kama ni wadangaji tu na gold diggers. waacheni watoto washangilie ushindi wa nyumba za baba yao.

Ubaya wa Vicky umewekwa wazi......Lakini noana Likwelile hazungumzwi kabisa.....Alikuwa kiwembe balaa.....mtu wa watoto....wengine walikuwa wakishangaa kama ana mke kweli.....! ALIKUWA NA NDOA JINA....TU!........Akili za kichwani alijaliwa mno......Ni vichwa vichache kama alivyokuwa Marehemu Likwelile.......Lakini ni vigumu na mbaya kumsema maremu.....kwa vigezo vingi alishindwa kabisa kutawala msukumo wake wa ngono.....alikuwa na msururu wa vimwana.......acheni tu .....Vicky aliangukia pabaya......Wengi tulishangaa kusikia ana ndoa yake......! Marehemu alikua hasazi habakizi kilichoko ndani ya sketi! Ofisi nyingi alizofanya fanya hakubakiza kabisa! Familia yake hata jamaa yake inajua hilo! Ni somo kwa Vicky hata wengi wenye nafasi kama Marehemu, ambao kushibisha raha za mwili pasipo mpangilio....wakiondoka wanaacha aibu na maumivu kwa wengi......! Ni somo kubwa kila upande.
 
Daah, huyu Mwanamke hatari sana
Mkuu Azarel....Vicky ni mbaya, haipingiki......lakini unajua Maisha ya Marehemu lakini? Haukuishi kabisa kama ana ndoa.....Alitumia wadhifa wake hasa katika swala la kushibisha mahitaji yake ya ngono....! Alikuwa mtu wa Vimwana....Hata Marehemu alikuwa mtu hatari sana! Kukutana na Vicky ni hatari zilikutana! Aibu kwa Vicky hata familia na watoto.....Marehehemu alikuwa ni msomi, mchumi bora....usingetegemea mambo haya ya binafsi mitandaoni.
 
Angekaa kimya tu. Kuanza kudai alikuwa na vinyumba vya kawaida ni ujinga.



Mwacheni aseme auponye moyo wake.

Kisaikolojia akiongea inampa relief ya mtihani anayopitia.

Ilimradi hakosei ktk kunena kwake.

Msimfumbe mdomo!
 
Kunyamaza kimya ingetosha.



Huku akiumia ndani?

Kisaikolojia akiongea anajiponya Na kijipa nafuu kubwa kwenye moyo wake.

Mwacheni aseme ilimradi hatukani wala kukosea ktk kusema kwake.

Kusema , kulia huleta ahueni ya moyo ulokuwa na uzito au majeraha.
 
Cathe amezeeka nowadays, halafu sijui kajichonga shepu, ila usoni amekongoroka sana. Nae yalimsibu alichukua mume wa mtu akafariki akaenda kupigana makaburini

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app



[emoji38][emoji38][emoji38]

Nimecheka Kwa sauti [emoji38][emoji38]

Eti akaenda “ kupigana makaburini”

Nyie jamani! [emoji3]
 
Halafu ni vile tu hajui, hii case kuna wazito behind the scene waliokuwa wanaangalia haki itendeke, Vick kudhani angeweza kumuhonga kila mtu ni kujitafutia kutumika bila sababu.

Vick vita yake ni ngumu cause mama mjengo hata kaa amsamehe abadani asilani na yuko naye sambamba kwenye kila vita.

Kijana alijazwa mihela akapita kushoto.



Kwa hiyo huenda Kuna mashaka ktk uamuzi wa hiyo mirathi?

Aachilie naye bana mumewe mwenyewe anamjua udhaifu wake!
 
Sijui idadi ya watoto wengi aloacha
Ni ngapi yarabi toba?!

Kumbe Ndiyo ndio maana yule mkewe Marry ule mwili wa wembamba ule ulikuwa wa mawazo mazito?!

Halafu kuna wanawake wanaomba kuolewa Na wanaume wenye hela Eti [emoji3][emoji28]

Yaani upate Mwanaume mwenye hela Halafu utarajie awe Na wewe mwanamke mmoja tu kama mama yake?

Hao wanaume malofa tu na wanatoka na wakufafana nao malofa wenzao Na wana cheat sembuse mwenye riziki?

Sitetei uovu lakini wanawake waambi ukweli ili kuepuka unnecessary panics.
 
Kama mzee alikuwa na vinyumba kwa nini alifoji document akai-edit?

Bora ngebaki kimya kuliko huu msamaha uliojaa kejeli.

Vicky Tafuta mstaafu mwingine usahihishe tena ikibidi mwambie vitu vyote akuandike wewe kama mrithi.

Kakate rufaa acha kutafuta huruma kwa watoto wa marehem!
Jinga sana et vinyumba
Sijui swiming pool kaionea kwangu
Hovyo sana
 
Kwa hiyo huenda Kuna mashaka ktk uamuzi wa hiyo mirathi?

Aachilie naye bana mumewe mwenyewe anamjua udhaifu wake!
Hapana, ila sasa mwenyewe alijua atashinda ndio maana aliwambia watoto waende mahakamani ndiko watakapopata haki yao hakujua kama yatakuwa hivi. Ni kama alienda kuhalalisha dhuluma.

Mstari wa pili, tatizo sio kuniibia bwana au udhaifu wa bwana, tatizo ni kutaka kunitoa kabisa huku ukitamba huku na huku kuwa wewe ni mwamba!
 
Huyu mwanamke yuko sawa kabisa sasa mzee alikuwa anakula mzigo burebure wewe unajua ni namna gani vicky kamata alikuwa anajituma kwa bed kumpatia vitu adim mzee acheni ujinga alafu watoto inatakiwa watafute mali zao ni usen** kusubiri mzee afe mrithi mali..
 
Back
Top Bottom