Vicky Kamata asema marehemu mume wake "Alikuwa na vinyumba vya kawaida na msururu wa watoto!"

Amepost wapi niende nikamtukane huyo Malaya,
Kutoa uchi Ili awe mbunge nayo imekua shughuli ya jasho na damu?
Kama na yeye alikua na asset za kumtosheleza alifungua kesi ya nini?
Nashangaa
Hata mi ningemtukana mbwa huyu
 
Kwahiyo ameacha Mali bila mpangilio?
Mpangilio wa nn mkuu ? Si km hivyo watt wa mke wa ndoa wanapambana hapo na wameshinda?
 
Kabla sijaacha pombe....Mara kadhaa nimekunywa na Dk...huyu mwanamke anachoeleza kina UKWELI....Dk....alianza kupata muelekeo baada ya kuwa na Vicky......tulikuwa frustrated na tulikuwa tunafarijiana pale River side.......kila mtu akiwa na mapito yake...na kweli mimi nafahamu kati ya aliozaa nao ni ka binti flani ka Iringa.
Hivi mzee Mrema bado yupo.?
Cc.Dk.Mchomvu
 
Kwani yule jamaa aliyekuwa anam.....si yupo?🙂au hapashi kiporo.
Cc.Dodoma
 
Ukitumia K kama mtaji MWISHO WAKE NDIO HUU...
Kulipwa BOT na marupurupu kama mfanyakazi hukuweka kibubu!
Ubunge wa kuteuliwa Kwa mtaji wa K, bado tena hukuweka kibubu!
Hela za msomi Lukwelile tena hukuweka kibubu!
Wewe kweli una akili kama K yako!
 
Kuna shida mahali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…