Vicky Kamata: Rais Samia hawezi kutibu majeraha, viongozi wa dini wagange mioyo ya watu, wamejeruhiwa

Bado unahangaika na malaya!

Usipende sana kutumia Neno hilo. Fikiri deeply. Utashangaa ukijua kuwa katika mfumo dume unaotawala siasa za nchi zetu za Afrika, wanawake wengi unaowaona waking’aa katika nafasi za kisiasa wamepitia au wanapitia adha hiyo kufikia na hata kudumu katika nafasi hizo. It’s an open secret. Wengine bado unawathamini sana. Lakini siri zao zikianikwa utasikitika. Wote utawaita hivyo?

Juzi kwenye mkutano wa UWT, Mh Rais aliwasisitizia wanawake kuhusu umuhimu wa kusimama kwa miguu yao wenyewe badala ya kutumika kwa manufaa ya wengine. Ina maana nyingi ikiwa ni pamoja na kunyanyasika. Hata ikiwa voluntary ni kunyanyasika tu. Ndio maana watu kama R Kelly na Bill Cosby wametikiswa kwa “taking advantage of vulnerable women”.

All said, Vicky Kamata hakutakiwa kumsema Magufuli hadharani. She’s part of the problem. She has a serious credibility shortfall.
 
Hizo stress zake tupa kule...mbona asielezee anavyotaka kudhulumu watoto wa marehemu Likwelile??? Huo si ukatili???

Wewe Zogwale unaetaka kudanganya watu kuwa Watoto wa marehemu wanampenda Vicky,unaona watu wanajua timbwili linaloendelea ndani ya Familia.
 
Waliomkubalia aliwapa zawadi ya vyeo:

Ummy - uwaziri
Angela - Uwaziri, na mumewe ubalozi
Joketi - Ukuu wa Wilaya
Sundi - Meneja ukaguzi wa migodi

Waliokataa

Vicky - mumewe aliondolewa kwenye ukatibu mkuu wa wizara, na yeye daima kuwa kikaangoni.

Vicky hakuwa na ubavu wa kumkataa Mwanasiasa yoyote mkubwa Nchini unless humfahamu vizuri,huyu alijilengesha akapigwa chini ndiyo makasiriko yote hayo.
 
Bongo raha kweli hapa napitia comments za watu na kumjua mtu tangu alipo zaliwa hadi sasa hata yale ya sirini kabisa

Ukijifanya mjuaji watu wanafungua mafile yako vizuri tu.Huyu Vicky anaishi nyumba ya vioo akae kimya,maana hadi Mama yake Mzazi anafariki walikuwa hata hawasalimiani,sijui huo ushauri anampa nani kama yeye alikuwa katili hadi kwa Mama yake mzazi.
 
Hata samia mwenyewe bila Mwanaume asingekuwa hapo! Ana watuka tu!
 
alitakiwa kukaa kimya tu maana mhhhh, naskia pia jiwe alitaka mzigo ila vicky akakataa hahaa
 
Wezi tu ndio wanao muita Magu katili wanyonge wanajuwa huruma yake
 
Amefungua " Pandora's box " au " flood gepe" kaamua watu wafungue kitabu cha siri chenye kurasa za maisha yake.....

Na tutafunguka kweli kweli,tutaanzia kwa kina Mpakanjia hadi hapo alipo kwa sasa
 
alitakiwa kukaa kimya tu maana mhhhh, naskia pia jiwe alitaka mzigo ila vicky akakataa hahaa

Huo ubavu wa kukataa hakuwa nao.Kinyume chake ndiyo ukweli wenyewe.Atakataaje wakati Political survival yake ilitegemea life style ya kuwadangia Wakubwa.
 
Huyu alipaswa kukaa kimya,maana tunaweza funguka hapa hadi watu wakabaki wameduwaa.Amwache JPM apumzike kwa amani na yeye aendelee na juhudi zake za kudhulumu mali watoto wa Marehemu Likwelile.
Lakini si alizaa na marehemu Likwelile?
 
Nakumbuka alikuwa anafanya kazi faraja radio. Alikuwa analelewa na Askofu Barina.

Sasa huko alifanya balaa hadi kutimuliwa na Askofu,alitaka kuvunja ndoa ya watu,mke akaja kulalamika kwa Askofu,na evidence zote ikawa ndiyo mwisho wa kufanya kazi pale.
 
Huyu Sawa na Shy Rose Bhanji tu, Jiwe aliwadhulumu lakini wakamsapoti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…