Vicky Kamata: Rais Samia hawezi kutibu majeraha, viongozi wa dini wagange mioyo ya watu, wamejeruhiwa

Waliomkubalia aliwapa zawadi ya vyeo:

Ummy - uwaziri
Angela - Uwaziri, na mumewe ubalozi
Joketi - Ukuu wa Wilaya
Sundi - Meneja ukaguzi wa migodi

Waliokataa

Vicky - mumewe aliondolewa kwenye ukatibu mkuu wa wizara, na yeye daima kuwa kikaangoni.
Walipewa vyeo lakini wameachiwa zawadi moja special.... ipi hiyooo
..ooh....oohh....alishawapa...........
 
Mbona JIWE kawapa wengi tu huo UKIMWI?
 
[emoji28]alikuwa anajua kukera watu sana yule mzee,na alipenda kufanya hivo kila akipata nafasi
"Mimi sishauriwi, tena ukinishauri ndio unaharibu kabisaaa" alisikika mtu akisema
 
Umeongea point kubwa saana, ma ccm manafki hayaelewi
 
Atasemwa hata mwisho wa dunia, maana madhara aliyowaachia watu ni ya kudumu.
Unasema vipi kuhusu wajane, yatima,waliofukuzwa Kazi kwa uonevu,waliofukuzwa chuo dodoma ,waliobomolewa nyumba zao,bambikwa kesi,filisiwa,porwa pesa zao.Acha watu watoe machungu yao.
KILA mtu uandika kitabu chake kisomwaje akiondoka.Kitabu cha hittler,iddi Amin, mobutu si SAwa na kitabu cha bobmarley,mama teresa, Mandela.
Yote ni funzo kwa walio hai.
 
Huyu naye au alikuwa miongoni mwa wanufaika wa Kikwete?
Mbona hamusahau Jiwe?
Swala kufa kila mtu atakufa,mbona kifo Cha Magufuli anakiona Kama adhabu?
Mbona mme wake alishakufa naye alionea watu ndo maana alikufa?
Hovyo kabisa.
Mume wake Vick kamata alimwonea nani?
 
Na hapa je? She is just frustrated na huu ni unafiki


Huyo ni stereotype ya CCM. Unafiki ni lazima. Na hajabadilika. Kipondo cha jiwe kweli alikipata. Hajadanganya. LAKINI, katika jamii ya wastaarabu mtu wa aina hiyo alipaswa kuwa kimya.

Ni wazi kuwa Magufuli angebadili mtazamo akamuingiza katika “himaya” yake, nyimbo sampuli hiyo ndio zingeshamiri na wapinzani/wakosoaji wangepashwa hasa. Sasa sijui tatizo lilikuwa ni Jiwe kutokuwa na compromise kwenye kiwango cha weupe?
 

Hakikisha hili swali linamfikia johnthebaptist. Analo jibu.
 
Tunataka katiba mpya inayosema raisi asiyetii katiba apigwe chini fasta. Magufuli hakutakiwa ikulu hata kwa dakika moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…