Kuficha viatu vya mandela kwa miaka 33Ana wasifu gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuficha viatu vya mandela kwa miaka 33Ana wasifu gani
Umfufue?? toa MCHANGO kwanzaAna wasifu gani
Sahihinilisoma mahali, huyu mama Vicky Nsilo Swai ni mke wa aliyekuwa nadhani waziri wa fedha wa wakati huo Ndg Asanterabi Nsilo Swai...
... hilo tu?Alitunza viatu vya marehemu Mandela Rais wa Kwanza wa South Afrika.
Nakitaka kitabu hicho chenye mwandiko wa Mandela, milioni 5 zipo mezaniMama Vicky Nsilo Swai mwenye historia ya kuhifadhi nyumbani kwake viatu vya mpigania uhuru wa Afrika ya kusini hayati Rais Nelson Mandela mwaka 1962 amefariki dunia.
Pia soma
-Vicky Nsilo Swai: I kept Mandela's boots for 33 years'
Nelson Mandela also visited Tanzania in 1962, staying with the late minister Nsilo Swai, whose wife, Vicky Nsilo Swai, told the BBC about his left luggage: "On the day Mandela was leaving, he had to leave behind a suitcase because he had too much luggage. In the suitcase was a pair of brown...www.jamiiforums.com
View attachment 1804806
Rais wa kwanza Mzalendo na Mpigania Uhuru wa Afrika Kusini Mzee Nelson Mandela ‘Madiba’ akiwa ameshikilia viatu vyake ambavyo aliviacha nyumbani kwa Mzee Nsilo Swai alipoingia Tanzania mwaka 1962 akitokea Afrika Kusini ili kuanza harakati za ukombozi. Mzee Mandela aliahidi kuvichukua viatu hivyo pindi atakaporejea Tanzania lakini katika safari hiyo ndipo alipoishia mikoni mwa makaburu wa Afrika Kusini na kumfunga kwa miaka 27. Viatu hivyo vilihifadhiwa hadi alipotoka na kukabidhiwa kwa Mandela na mjane wa Mzee Nsilo Swai, Bi Vicky Nsilo Swai (pichani kulia) Desemba 12,1995 Mandela alipotoka gerzani na hatimaye kuwa Rais wa kwanza Mweusi wa Afrika Kusini.
View attachment 1804813
Maandishi ya Mzee Mandela kwa Mama Vicky Nsilo Swai aliyoyaandika kwenye kitabu alichompa kama zawadi baada ya kurudishiwa viatu vyake mwaka 1995
View attachment 1804863
Mama Vicky Nsilo Swai na Mama Maria Nyerere wakiwa katika shughuli ya Mazishi ya Mzee Mandela kijijini Qunu
poleni watu wa Moshi na Kilimanjaro ila jamani CCM ni CCM tu, wanyonyaji.Mama Vicky Nsilo Swai mwenye historia ya kuhifadhi nyumbani kwake viatu vya mpigania uhuru wa Afrika ya kusini hayati Rais Nelson Mandela mwaka 1962 amefariki dunia.
Pia soma
-Vicky Nsilo Swai: I kept Mandela's boots for 33 years'
Nelson Mandela also visited Tanzania in 1962, staying with the late minister Nsilo Swai, whose wife, Vicky Nsilo Swai, told the BBC about his left luggage: "On the day Mandela was leaving, he had to leave behind a suitcase because he had too much luggage. In the suitcase was a pair of brown...www.jamiiforums.com
View attachment 1804806
Rais wa kwanza Mzalendo na Mpigania Uhuru wa Afrika Kusini Mzee Nelson Mandela ‘Madiba’ akiwa ameshikilia viatu vyake ambavyo aliviacha nyumbani kwa Mzee Nsilo Swai alipoingia Tanzania mwaka 1962 akitokea Afrika Kusini ili kuanza harakati za ukombozi. Mzee Mandela aliahidi kuvichukua viatu hivyo pindi atakaporejea Tanzania lakini katika safari hiyo ndipo alipoishia mikoni mwa makaburu wa Afrika Kusini na kumfunga kwa miaka 27. Viatu hivyo vilihifadhiwa hadi alipotoka na kukabidhiwa kwa Mandela na mjane wa Mzee Nsilo Swai, Bi Vicky Nsilo Swai (pichani kulia) Desemba 12,1995 Mandela alipotoka gerzani na hatimaye kuwa Rais wa kwanza Mweusi wa Afrika Kusini.
View attachment 1804813
Maandishi ya Mzee Mandela kwa Mama Vicky Nsilo Swai aliyoyaandika kwenye kitabu alichompa kama zawadi baada ya kurudishiwa viatu vyake mwaka 1995
View attachment 1804863
Mama Vicky Nsilo Swai na Mama Maria Nyerere wakiwa katika shughuli ya Mazishi ya Mzee Mandela kijijini Qunu
Hata mimi i don't know her beforeYaani ndio namsikia Leo.
Duh!!Umfufue?? toa MCHANGO kwanza
So what!!Alitunza viatu vya marehemu Mandela Rais wa Kwanza wa South Afrika.
Marehemu Ahsante Rabi Zephaniah Nsilo Swai alikuwa waziri wa Biashara enzi ya Nyerere sio wizara ya fedha! Wizara ya fedha ilikuwa himaya ya Amir Jamal!nilisoma mahali, huyu mama Vicky Nsilo Swai ni mke wa aliyekuwa nadhani waziri wa fedha wa wakati huo Ndg Asanterabi Nsilo Swai.
kwahiyo, Mandela alipoingia kwa siri hapa nchini kupitia Mbeya, katika juhudi zake za ukombozi wa SA, aliishi nyumbani kwa huyo wazir badala ya hotelini kama hatua ya kujificha.
Baadae Mandela alielekea nchi moja ya west africa, na wakt wa kurudi alipitiliza moja kwa moja hadi SA ambapo aliishia kukamatwa na kufungwa.
naweza kurekebishwa, maana ni mda kidgo pengine nimesahau baadhi ya details
nashukur kwa kunisahihisha mkuuMarehemu Ahsante Rabi Zephaniah Nsilo Swai alikuwa waziri wa Biashara enzi ya Nyerere sio wizara ya fedha! Wizara ya fedha ilikuwa himaya ya Amir Jamal!
Unaposema ni muda pengine umesahau! Unataka tuamini kuwa wakati huo ulikuwepo duniani? Na ulikuwa jirani ya huyu mama?nilisoma mahali, huyu mama Vicky Nsilo Swai ni mke wa aliyekuwa nadhani waziri wa fedha wa wakati huo Ndg Asanterabi Nsilo Swai.
kwahiyo, Mandela alipoingia kwa siri hapa nchini kupitia Mbeya, katika juhudi zake za ukombozi wa SA, aliishi nyumbani kwa huyo wazir badala ya hotelini kama hatua ya kujificha.
Baadae Mandela alielekea nchi moja ya west africa, na wakt wa kurudi alipitiliza moja kwa moja hadi SA ambapo aliishia kukamatwa na kufungwa.
naweza kurekebishwa, maana ni mda kidgo pengine nimesahau baadhi ya details
Hotel hiyo iliitwaje?Pole sana kwa familia. Mama Nsilo Swai alijitolea sana kuwahudumia viongozi wa ccm kiasi cha Hotel yake pale Moshi kufilisika na hivyo kuiuza!!!! Viongozi wa ccm kwa hulka yao hupenda sana vitu vya bure bure!!!
Yaah sisi hatuna hiyana boss,hebu cheki mama alivyong'aa hapo ni 1995Wachaga ndio maana hadi leo wametoboa, yaani miaka hiyo wao wanawahifadhi wageni kama mzee madiba.