luambo makiadi JF-Expert Member Joined Nov 28, 2017 Posts 10,602 Reaction score 8,798 Feb 28, 2022 #41 mosses15 said: So what!! Click to expand... Acha wivu
B Bulesi Platinum Member Joined May 14, 2008 Posts 14,275 Reaction score 13,929 Feb 28, 2022 #42 luambo makiadi said: Hotel hiyo iliitwaje? Click to expand... Hotel hiyo ilinunuliwa na FRANK Marealle iko Moshi uzunguni..SHANTY..TOWN!
luambo makiadi said: Hotel hiyo iliitwaje? Click to expand... Hotel hiyo ilinunuliwa na FRANK Marealle iko Moshi uzunguni..SHANTY..TOWN!
K Kimpyempye JF-Expert Member Joined Dec 11, 2018 Posts 723 Reaction score 1,157 Feb 28, 2022 #43 Ndinani said: Marehemu Ahsante Rabi Zephaniah Nsilo Swai alikuwa waziri wa Biashara enzi ya Nyerere sio wizara ya fedha! Wizara ya fedha ilikuwa himaya ya Amir Jamal! Click to expand... Wizara ya fedha waliimiliki Amir Jamal na Cleopa Msuya kwa mkakati tofauti
Ndinani said: Marehemu Ahsante Rabi Zephaniah Nsilo Swai alikuwa waziri wa Biashara enzi ya Nyerere sio wizara ya fedha! Wizara ya fedha ilikuwa himaya ya Amir Jamal! Click to expand... Wizara ya fedha waliimiliki Amir Jamal na Cleopa Msuya kwa mkakati tofauti
Mzingo JF-Expert Member Joined Nov 2, 2014 Posts 4,729 Reaction score 10,500 Feb 28, 2022 #44 Nilivyoona Nsi Swai nikajua yule alosoma chuo kimoja Genta.
K K.Msese JF-Expert Member Joined Apr 1, 2012 Posts 2,386 Reaction score 3,024 Mar 1, 2022 #45 elvischirwa said: Unaposema ni muda pengine umesahau! Unataka tuamini kuwa wakati huo ulikuwepo duniani? Na ulikuwa jirani ya huyu mama? Click to expand... mbona nimeandika hapo kwny para ya kwanza, kuwa nilisoma mahali, ila ni kitambo kidogo.
elvischirwa said: Unaposema ni muda pengine umesahau! Unataka tuamini kuwa wakati huo ulikuwepo duniani? Na ulikuwa jirani ya huyu mama? Click to expand... mbona nimeandika hapo kwny para ya kwanza, kuwa nilisoma mahali, ila ni kitambo kidogo.
N Ndinani JF-Expert Member Joined Aug 29, 2010 Posts 7,329 Reaction score 4,286 Mar 1, 2022 #46 Kimpyempye said: Wizara ya fedha waliimiliki Amir Jamal na Cleopa Msuya kwa mkakati tofauti Click to expand... Nsilo Swai alipokuwa waziri, Cleopa Msuya alikuwa bado kupata uwaziri!!
Kimpyempye said: Wizara ya fedha waliimiliki Amir Jamal na Cleopa Msuya kwa mkakati tofauti Click to expand... Nsilo Swai alipokuwa waziri, Cleopa Msuya alikuwa bado kupata uwaziri!!