Vicobs wapewe maua, wametatua kilio cha muda mrefu cha kadeti orijino, kwa sasa hatuna haja ya kufanya mawindo mitumbani, Ni mkataba !!

Vicobs wapewe maua, wametatua kilio cha muda mrefu cha kadeti orijino, kwa sasa hatuna haja ya kufanya mawindo mitumbani, Ni mkataba !!

gearbox

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2024
Posts
563
Reaction score
1,768
Snapinsta.app_217750982_1077947909402157_6116899650362248986_n_1080.jpg


Ni kilio kilichokuwa kikitutesa wengi kwa muda mrefu, yani kupata kadeti original ilikuwa ni shughuli pevu, tushapigwa za uso mara kadhaa kununua kadeti za elf 40 tukidanganywaa kwamba ni original. yaani walioweza kununua kadeti original za dukani walikuwa ni wale daraja la juu zaidi kiuchumi, ama wenye connection za nje, wengine tulishakariri vibanda vya mitumba wanakouza kadeti za dickies.

Kwa sasa ukinunua vucobss ni mkataba, Sehemu nilipo ni mkoani natokwa elf 40 lakini sijutii pesa nayoitoa, najua napata kitu quality kitachodumu na ni kipya.
 
View attachment 3008640

Ni kilio kilichokuwa kikitutesa wengi kwa muda mrefu, yani kupata kadeti original ilikuwa ni shughuli pevu, tushapigwa za uso mara kadhaa kununua kadeti za elf 40 tukidanganywaa kwamba ni original. yaani walioweza kununua kadeti original za dukani walikuwa ni wale daraja la juu zaidi kiuchumi, ama wenye connection za nje, wengine tulishakariri vibanda vya mitumba wanakouza kadeti za dickies.

Kwa sasa ukinunua vucobs ni mkataba, Sehemu nilipo ni mkoani natokwa elf 40 lakini sijutii pesa nayoitoa, najua napata kitu quality kitachodumu na ni kipya.
Zinatokea nchi gani?

Mbona na hizi 'Zara' za Italy zipo quality sana.
 
Sijajua ni nchi gani ila zipo bomba,

Tqtaizo la hapa bongo nina uhakika ni suala la muda tu huyu Vicobbs anaingiliwa soko, kutakuwa na feki nyingi sana, najipanga ninunue chapchap hata sita kabla mambo hayajaharibika
Feki tayari zipo mkuu nimepigwa vicobs mbili last time hasa zile za blue
 
Sijajua ni nchi gani ila zipo bomba,

Tqtaizo la hapa bongo nina uhakika ni suala la muda tu huyu Vicobbs anaingiliwa soko, kutakuwa na feki nyingi sana, najipanga ninunue chapchap hata sita kabla mambo hayajaharibika
Mkuu ni vicobss ama vicobbs?

Mnatuchanganya uwenda tayari kuna manjonjo hapo
 
ukimani ni utata
huku nchi nilipo vitu ni OG tupu na bei inapendeza.
 
Sijajua ni nchi gani ila zipo bomba,

Tqtaizo la hapa bongo nina uhakika ni suala la muda tu huyu Vicobbs anaingiliwa soko, kutakuwa na feki nyingi sana, najipanga ninunue chapchap hata sita kabla mambo hayajaharibika
Hawawezi kuingilia TATIZO Mchina choviya choviya maji mara 2 Cadet ishapauka haitamaniki
 
Back
Top Bottom