st kayumba pro
Senior Member
- Jul 11, 2015
- 174
- 21
bado sana kuanza kumlinganisha samatta na mchezaji yoyote wa afrika alioko ulaya,samatta anahitaji kujituma zaidi ili kufikia malengo na sio kuskliza sifa za wabongo mwishowe akapoteza ata nafasi aliokua nayo hivi sasa.
sure kabisa! akaze buti tu kwa sababu sifa za saa hzi hazna tija sana 'luku fowadi' samatta!