Victoria Kimani

Victoria Kimani

Yes proudly. Do you live in an LDC State?
LDC-2018.png
You are a product of a failed abortion
 
Mr. Nice yupo Kenya as we speek club hoping akitafuta hela kwa kuosha au kusafisha clubs.
Then thats the main reason he can not make it through music.
Hii ni nyimbo ya Victoria Kimani inayo ongoza kwa kuwa na Views nyingi of 1.2 million kwa sababu yakuwepo wa Tanzania. Hope utaelewa wa bongo tuna support wasanii.
 
Then thats the main reason he can not make it through music.
Hii ni nyimbo ya Victoria Kimani inayo ongoza kwa kuwa na Views nyingi of 1.2 million kwa sababu yakuwepo wa Tanzania. Hope utaelewa wa bongo tuna support wasanii.

Mimi ninawasupport wasanii for what reason if I will be spending to see them? Tofauti ya wakenya na tz ni priorities.
 
shida yake haaimbi kama mkenya...anajaribu kuwaiga wa nigeria mara wazungu...ndio maana nyimbo zake hazivumi
 
Kama muziki ungewatoa WaTz kwa umaskini basi tungeona kitu kama hiyo...buy music is more personal. Diamond hajaweza kuitoa Danganyikans LDC and he spends more time in Kenya because Tz reminds him of poverty.
Kuna mzungu anataka kukuoa
 
Tz ni bure kabisa hebu cheki hapa 2018
LDC-2018.png
Nyinyi ndiyo mliyo tuweka hapo na kutufikusha hapo mlituibia ndege zetu na Mali nyingi za EAC na tanzanite inapatikana Kenya zaidi ya Tanzania but for now game is change we take how power
 
Mbona Mr. Nice anateseka, ikuingie kwamba muziki lazima utie bidii na kama ukiwa one hit wonder, basi hela utakazozipata jaribu kujiboresha kwa kuzitumia kama mtaji. Hata mwanamziki anayeitwa Darassa asipokua makini atazikwa kwa zilizopendwa.

Mashabiki Wakenya sio wafuata mkumbo, lazima utoe kitu cha kukubalika, ukiweza basi kesha studio, pambana hadi kitu utakachokitoa kikubalike, ila Wakenya wakikukubali ujue maisha yako yatabadilika na ndio maana wasanii wa Tanzania hutafuta mbinu zote kuja Kenya, maana kwao wanasota tu kwa sababu nyie support zenu ni makelele tu lakini hamuingii mifukoni, yaani full ubahli.
We kweli boya sasa Mr nice ni mwanamusic labda ni mwanamusiki huko kwenu kibera
 
Kwa nini Kenya mnamchukia Victoria Kimani ? Kwa nini mnashindwa kutoa support kwa wasanii wenu.? Ningeomba mnijuze ni nini tatizo ?

Kenyans Have Refused To Support Me – Victoria Kimani

victoria-kimani.png


It looks like Victoria Kimani is not a happy woman.
The super-sexy singer feels that Nigerians support her more than her fellow Kenyans. Vicky stated that Nigerians the one she should really thank for the milestones she has hit in her career so far. she even did a tour around Kenya recently but locals in most towns were like “Who iz you?”

Miss Kimani apparently posted the rant in an exclusive Kenyan celebrity group saying that some Kenyan deejays and radio presenters were even in positions to help her at one time but chose not to because they hated her.
pitia hapa uone sababu kumbuka diamond na ommy dimpoz walishamwandikia mwimbo huyu dada! Prokoto iliandikwa na Bongoflava artists.

Salt Bae: Victoria Kimani Caught Feels Over Safaricom's Deal With Diamond Platnumz - ZUMI
 
Back
Top Bottom