Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Unajua kiukweli Mwalimu anapaswa kuwa na kipawa kikubwa mno !Kuna baadhi ya sifa kwa hakika si sifa bali ni kashfaππππ. Babu na kitambi chake anapiga kelele bila ya kupenda yote katika jina la majukumu.
[emoji23][emoji23][emoji30][emoji30][emoji30][emoji23][emoji23]Pamoja na mapungufu yake kama Mwanadamu IGP Sirro amejaaliwa kipawa cha ugunduzi wa kipaji cha mtu , na hasa kwenye eneo lake la polisi .
Ukiangalia video hii utagundua kwamba huyu RPC hili ndio eneo lililomfaa tangu awali
Hakika jamaa anacho kipawa hicho kwa umbo na sauti juu ya mapambio πUnajua kiukweli Mwalimu anapaswa kuwa na kipawa kikubwa mno !
Hivi ana elimu gani? Kwa maana ya darasani tofauti na ccp?Comedian Shana katika ubora wake.
Ya maigizo na ngonjera.Hivi ana elimu gani? Kwa maana ya darasani tofauti na ccp?
Nisamehe mkuu π[emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa hivi unajua kua wewe ni mkatili sana...?
Nisamehe mkuu [emoji38]
Kwa kweli hata mimi nimecheka mbavu sina. Uliitaimu vipi?Shukrani mkuu umefanya nimecheka maana tangu asububi sikua nimecheka.
Unasikia hata sauti ina mafuta haitoki!Kuna baadhi ya sifa kwa hakika si sifa bali ni kashfaππππ. Babu na kitambi chake anapiga kelele bila ya kupenda yote katika jina la majukumu.