Yapo mengine unashindwa kuyaeleza hivyo unaiachia video ndio iongee, karibuni sana...
Kama sifa zinalevya, basi Mh Rais Samia Suluhu Hassan kaa chonjo na watu kama hawa!
Juzi kwa mwendazake leo kwako...waepuke wanafiki hawa, kaa mbali nao na waogope kama ukoma!
Of course, ndani ya CCM, he is a great asset. Ataendelea kuchaguliwa hadi anaingia kaburini na hiyo ndiyo bahati yetu Watanzania...they don't last for ever but Tanzania lives on!
Of course, ndani ya CCM, he is a great asset. Ataendlea kuchaguliwa hadi anaingia kaburini na hiyo ndiyo bahati yetu Watanzania...they don't last for ever but Tanzania lives on!
Watanzania walikaririshwa na Mzungu akawakaghilimisha ubongo (brainwash) kwamba ukiwa unaflow lugha, na kimalkia kinapanda kumkichwa, basi wewe ni bonge la mtabe. But Mzee wa Msoga na JPM wamewaprove wrong.
Wenzio wana nyuzi (degree) ^tar-two^ za political science, but wewe umeishia kukariri Principles za Maxwell labda na zile laws za Thermodynamics. Bure na nusu!!!
Yapo mengine unashindwa kuyaeleza hivyo unaiachia video ndio iongee, karibuni sana...
Kama sifa zinalevya, basi Mh Rais Samia Suluhu Hassan kaa chonjo na watu kama hawa!
Juzi kwa mwendazake leo kwako...waepuke wanafiki hawa, kaa mbali nao na waogope kama ukoma!
Watanzania walikaririshwa na Mzungu akawakaghilimisha ubongo (brainwash) kwamba ukiwa unaflow lugha, na kimalkia kinapanda kumkichwa, basi wewe ni bonge la mtabe. But Mzee wa Msoga na JPM wamewaprove wrong.
Wengine tulikaririshwa na baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (RIP) kwamba kama Kiswahili kilivyo lugha ya Watanzania, hivyo hivyo Kiingereza kimetokea kuwa lugha ya dunia...wewe kaa na ujinga wako!
Watanzania walikaririshwa na Mzungu akawakaghilimisha ubongo (brainwash) kwamba ukiwa unaflow lugha, na kimalkia kinapanda kumkichwa, basi wewe ni bonge la mtabe. But Mzee wa Msoga na JPM wamewaprove wrong.
Hao ndio viwavi vilivyovamia JF baada ya milango kuachwa wazi siku hizi hadi layabouts wanatamba humu kwa makoti ya kuazima. Mtu hata hajui kuwa Kiingereza pia ni lugha ya taifa letu halafu bila aibu anamweka Kikwete grupu moja na mwendazake, really?