Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Samia naye nimeona ana Tabia za Magufuli za kupenda kusifiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana tunaomtakia mafanikio tunamuasa akae mbali na hamnazo kama huyo Mwenyekiti wa CCM mkoani Mara...watamchafulia. Siku zake 100 ambazo wengine tumempa zinayoyoma na asipofanya kweli ajue mawe yako pale pale!Samia naye nimeona ana Tabia za Magufuli za kupenda kusifiwa.
Hivi Mara hakuna wasio wakristu?Yapo mengine unashindwa kuyaeleza hivyo unaiachia video ndio iongee, karibuni sana...
Kama sifa zinalevya, basi Mh Rais Samia Suluhu Hassan kaa chonjo na watu kama hawa!
Juzi kwa mwendazake leo kwako...waepuke wanafiki hawa, kaa mbali nao na waogope kama ukoma!
1.
View attachment 1819875
2.
View attachment 1819876
3.
View attachment 1819877
4.
View attachment 1819879
5.
View attachment 1819880
6.
View attachment 1819881
7.
View attachment 1819882
Kwa mwanamke kuacha kumsifia itakuwa wrong sifa zitampa comfort na confidence ya kazi, makanusho ya public yatamsaidia yeye kujua mbivu na mbichi na yeye saikolojia yake aitumie vemaSamia naye nimeona ana Tabia za Magufuli za kupenda kusifiwa.
Huyo jamaa anajulikana kwa unafiki wakeYapo mengine unashindwa kuyaeleza hivyo unaiachia video ndio iongee, karibuni sana...
Kama sifa zinalevya, basi Mh Rais Samia Suluhu Hassan kaa chonjo na watu kama hawa!
Juzi kwa mwendazake leo kwako...waepuke wanafiki hawa, kaa mbali nao na waogope kama ukoma!
1.
View attachment 1819875
2.
View attachment 1819876
3.
View attachment 1819877
4.
View attachment 1819879
5.
View attachment 1819880
6.
View attachment 1819881
7.
View attachment 1819882
Hivi huwa wanaokotwa wapi hawa ?
Samia hana Sifa za kuwa mgombea 2025, na ifahamike hivyo, wenyewe wapo na Samia anajua ndiomana aliwaambia wasubiri muda wao utafika. Habari iko hivyo anahitimisha ngwe yake ya 10yrs.Huyo jamaa usipomjulia umekwishaa.
Hapo ma ditactive wa chama wamfuatile watakuta anaongoza genge la kumuangusha mama 2025 na pesa vibosile ukute wanampa yeye na akiwa majukwaani anahadaa umma kuwa yeye anakubaliana na mama.
Chunga kabisa huyo jaluo, anachagulika kwa sababu ya rushwa tu, ni inept and BOGUS.
Wengine tulikaririshwa na baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (RIP) kwamba kama Kiswahili kilivyo lugha ya Watanzania, hivyo hivyo Kiingereza kimetokea kuwa lugha ya dunia...wewe kaa na ujinga wako!
Hao ndio viwavi vilivyovamia JF baada ya milango kuachwa wazi siku hizi hadi layabouts wanatamba humu kwa makoti ya kuazima. Mtu hata hajui kuwa Kiingereza pia ni lugha ya taifa letu halafu bila aibu anamweka Kikwete grupu moja na mwendazake, really?
Huyo jamaa usipomjulia umekwishaa.
Hapo ma ditactive wa chama wamfuatile watakuta anaongoza genge la kumuangusha mama 2025 na pesa vibosile ukute wanampa yeye na akiwa majukwaani anahadaa umma kuwa yeye anakubaliana na mama.
Chunga kabisa huyo jaluo, anachagulika kwa sababu ya rushwa tu, ni inept and BOGUS.
wakati wa jiwe zilikuwa sifa, kwa mama ni za kinafiki. Wewe ndio mnafiki mkuuNiliiona juzi hii video. Nikataka kuanzisha uzi. Nikaghairi maana sikuona jipya!
Ila pia, hao wanaosifiwa nao wako complicit kwenye huo upumbavu.
Mtu utakaaje hapo jukwaani unasifiwa kinafiki nafiki namna hiyo na wewe unakaa kimya tu?
Mwisho wa siku naamini mhusika mkuu anaweza akapiga stop huo upumbavu kama akitaka.
Ni suala la kutamka tu hadharani kuwa hataki hizo sifa za kinafiki tu, basi. Habari yote kwisha.
Duh!wakati wa jiwe zilikuwa sifa, kwa mama ni za kinafiki. Wewe ndio mnafiki mkuu
Mbona unapanic.....ukweli unauma🤣🤣🤣Duh!
Nyumbu una matatizo ya ubongo aisee!!
Kwa hiyo kwa Magufuli uliona ni sifa za kinafiki na sasa kwa Samia unaona ni sifa!
Nyumbu logic 101 🤣🤣🤣.
Even an earthworm is more intelligent than you.
FOH.
Nyumbu you are delusional 🤣🤣Mbona unapanic.....ukweli unauma🤣🤣🤣
inauma eeh!Nyumbu you are delusional 🤣🤣
Nini inakuumiza?inauma eeh!
JK Mrisho yupo vizuri sana katika lugha ya queen Elizabeth. Dunia sio kijiji bali global wise na ivo hakuna jinsi yoyote ile tunaweza kuiepuka lugha ya kiingereza (internatinally accepted world wide language). If yiu cannot speak and utter English language is better you keep quiet.Hao ndio viwavi vilivyovamia JF baada ya milango kuachwa wazi siku hizi hadi layabouts wanatamba humu kwa makoti ya kuazima. Mtu hata hajui kuwa Kiingereza pia ni lugha ya taifa letu halafu bila aibu anamweka Kikwete grupu moja na mwendazake, really?