Video: Ama Mwenyekiti wa CCM Mkoani Mara ni mnafiki

Kimbuka wanasifia ni CCM na yeye mama Samia ni CCM na ndo iliyompa ridhaa ya kuongoza nchi. Ukisema awaepuke atawaepuka vipi?
 
halafu bila aibu anamweka Kikwete grupu moja na mwendazake, really?
Hapo ndiyo ushangae Sasa. Hvi mtu anaewezaje kulinganisha kiingereza cha Kikwete na Magufuli? Magufuli ailikuwa hajui kabisa kiingereza. Yaani zero kabisa.
 
Eti mtu umezaliwa na kulelewa usukumani halafu unaongea Kisukuma cha kuungaunga!

Eti umekulia na kukomaa nchini Tanzania toka utotoni halafu Kiswahili unaongea cha kuungaunga!

Eti umesoma hadi kutunukiwa UPhD kwa lugha ya malkia halafu unaongea Kimombo cha kuungaunga!

Umekuwa waziri kwenye serikali tofauti kwa miaka zaidi ya ishirini halafu hujui taifa lilifikaje ilipo!

Kweli? Hapo lazima utakuwa kilaza wa kutupwa lakini kwa ujuha wako ukajiaminisha wewe ni genius!

Matokeo yake ndio hayo tuliyoshuhudia kwa mwendazake…ujeuri, ukatili na chuki zinatawala moyo wako.

Na zinatumika kama kinga yako dhidi ya wenye akili zaidi yako katika jitihada za kuficha mapungufu yako.

Ghafla na bila kutegemewa haupo, unakufa na kufutika katika uso wa dunia na kuwaacha wafuasi wako yatima.

Huko ahera unaungana na vilaza wenzako mnaofanana na kuchungulia yanayojiri duniani mlikotoka.

Mnajuta…! Laiti mngejua…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…