SI KWELI Video: Anayejiita Superwoman akamatwa na mihadarati nchini Oman

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Vyombo vyetu tu vya usalama vimelala au wanashirikiana nao, mtu kama chino anavyo flaunt Mali zake ukimchukua hata junior auditor amkague Mali zake vs tax return asubuhi tu anamtoa chino kamasi.....
 
Vyombo vyetu tu vya usalama vimelala au wanashirikiana nao, mtu kama chino anavyo flaunt Mali zake ukimchukua hata junior auditor amakague Mali zake vs tax anayolipa serikalini asubuhi tu anamtoa chino kamasi.....
Chino ndo Nani?
 
Awesome ,kudos!
 
Uwanja wa ndege Dar aliwezane kutoka na madawa yote hayo ambayo hata ukaguzi wa bila kutumia vifaa unayagundua.Tanzania imekuwa salama Kwa biashara za madawa ya kulevya chini ya wamu ya sita
Hii clip niliiona TikTok kuna watu walisema huyo mtu sio Mtanzania ni Mnigeria na clip ni ya siku nyingi
 
Nje za nchi

Nchi za nje

Which is Which, hebu wataalam tuelewesheni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…