SI KWELI Video: Anayejiita Superwoman akamatwa na mihadarati nchini Oman

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Kakamatwa kwenye harakati.

Live for nothing, die for something
Get rich or die trying
ndio hii.

Ila usimuamini mtu aliyetoboa hata siku moja, mafanikio yana siri nyingi sana.
Hata hawa akina Diamond au Ommy Dimpoz kuna mambo yao nyuma ya pazia
 
Unaweza kushangaa hawa watu wasioleweka hata biashara zao hazieleweki ndio wanapata airtime ..Kuna yule chief wa Mbeya yaani hovyo kabisa.
Chief Godlove wa Kyela Mbeya ana hela za masharti. Ndiyo maana zaidi ya show off ya magari hana kitu anafanya nazo. Akikiuka masharti tu ANAKUFA mara moja
 
Ni kama hawa matakataka wanaopotoaha jamii mfano kina sijui tajiri chui,chief Goodlove enzi za Magu usingesikia upumbavu huu kama sasa
Magu yuko overated. Mbona Kanyau na Kinje waliendelea kusafirisha mihadarati kwa kulindwa na Bashite??
 
Mpaka sasa hivi jina lake halijapatikana, wala user name yake ya IG
 
Angetoboa hapo angeendelea kudanganya kuwa alienda China na mtaji wa laki 5 tu. Kuna Pastor namtilia Shaka naendelea kukusanya ushahidi
Pastor Kopola kanunua ikiyokuwa New World Cinema kwa Tsh 3 Bilioni
 
Kabisa.
 
wengi hao huwa wanajisahau sana, unapofanya ishu kama hizo lazima ujue when to stop
 
Kakamatwa kwenye harakati.

Live for nothing, die for something
Get rich or die trying
ndio hii.

Ila usimuamini mtu aliyetoboa hata siku moja, mafanikio yana siri nyingi sana.
"Mafanikio yana siri nyingi sana" we umejuaje kuwa mafanikio yana siri nyingi sana ili hali tayari yana siri?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…