Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boda kwa ule mwendo sio kasi mkuu..Mwendo kasi ilikua imechanganyia hadii injini inapiga mluzi.
Majuzi hapo...hii ya lini wadau?
Itakua kaingia chini ya gariAlikufa?
Wanasema walikuwa wawili, mbona hapo ni mmoja tu? Mwingine yuko wapi hapo?
Boda ndio kabaki chini pale..Alikufa?
Wanasema walikuwa wawili, mbona hapo ni mmoja tu? Mwingine yuko wapi hapo?
Umeangalia video na kuielewa mkuuHaya mabasi ya mwendokasi yatatumaliza watanzania au ndiyo kafara za wachina
Jamani me napendekeza huu mladi ustopishwe tutumie Daladala pekee
Tatizo la mwendokasi lipowapi hapoHaya mabasi ya mwendokasi yatatumaliza watanzania au ndiyo kafara za wachina
Jamani me napendekeza huu mladi ustopishwe tutumie Daladala pekee
Anajua anaingia kwenye jakisheni bado yupo speed huoni tatizo hiloTatizo la mwendokasi lipowapi hapo
[emoji1][emoji1][emoji1]unachekesha sanaAnajua anaingia kwenye jakisheni bado yupo speed huoni tatizo hilo
Mwendokasi haina Junction kwanza ujue hilo hio ni Sub-train inapotoka mpaka inapofika Kate njia yake, wewe mwenye combo kingine tangu KM 100 kabla ya ku-Cross mwendo kasi unajua nitaipita mqendokasi....Mosi.Anajua anaingia kwenye jakisheni bado yupo speed huoni tatizo hilo
Itakua kaingia chini ya gari
Bodaboda ni risk, lakini kuna maeneo ambayo ni risk zaidi kuliko maeneo mengine.Mama ananikataza sanaaa kupanda bodaboda!
Kuanzia sasa namsikiliza[emoji119]
Wamefuka pale pale maskiniiiii😕😕😕Boda ndio kabaki chini pale..
Huyu mwingine aliye rushwa ni abiria