Video: Angalia Bodaboda alivyogongwa na Mwendokasi

Video: Angalia Bodaboda alivyogongwa na Mwendokasi

-hawa madereva wa mwendokasi wanahitaji busara na utu sana wakiwa city center
-hawa bodaboda nao wanafamilia wanapigania mkate viongozi wetu wakuweka sawa haya mambo wao full ac huko
-miundombinu yetu sio ya kueleweka sisi tuliobadilisha vichochoro kua barabara tunatesana tu
-ila nchi hii laana tu yani kama tumeshindwa kuweka vizuizi kwenye railway itakua mwendokasi mbona kama najitesa kutoa ushauri mlaaniwe wenye mamlaka pateni utajiri lakini mlaaniwe kuku nyie

MADEREVA WA MWENDOKASI ACHENI UHURU KUJIONA MKO NDANI YA TRENI MIUNDOMBINU YETU INAINGILIANA SANA BILA VIZUIZI VYOVYOTE SERIKALI ACHENI KULALA KUNGEKUA NA KIZUIZI PALE TENA CHA GATE BODABODA ANGESIMAMA MNANUNUA MAGARI YA KIFAHARI TU NYAU NYIE

-NAAMINI KUIBADILISHA NCHI HII KAMWE USITEGEMEE CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA NI LAZIMA ITOKE NDANI YA MTU MMOJA AJITOLEE MAISHA YAKE KWAAJILI YA NCHI HAWA MAFISADI HAWA KUPITIA VYAMA HAMNA KITU
Umetumia hisia hapa,ila ukweli ni kwamba dereva wa mwendokasi hapo hana makosa
 
Mwendokasi haina Junction kwanza ujue hilo hio ni Sub-train inapotoka mpaka inapofika Kate njia yake, wewe mwenye combo kingine tangu KM 100 kabla ya ku-Cross mwendo kasi unajua nitaipita mqendokasi....Mosi.

Pili hapo kisutu kutoka Mataa ya DIT mpaka Azam Marine kuna Junction 3000 kidogo hilo gari refu litasimama mara ngapi.
Sawa mkuu nimekusoma ila nashauri yawekewe hono ya Treni ili linapokaribia kwenye makutano lipige honi ikibidi lisimame kwa muda wa sekunde tatu hata kama mataa yameruhusu
 
Mama ananikataza sanaaa kupanda bodaboda!
Kuanzia sasa namsikiliza[emoji119]
Nimewahi kukoswa na Rav 4 moja pale mataa ya External ilikuwa mida ya saa 6 mchana sitosahau na ndio mwisho wangu kupanda Boda. Ilikuwa 2018. Hapo natokea Ubungo naenda Airport, taa zilikuwa nyekundu na ziliruhusiwa gari zinatokea kushoto kwa maana ya Mabibo, kama kawaida Boda akapenya kwenda mbele nikijua kama kawaida anaenda kusimama kumbe anapitiliza aisee, baada ya kuvuka hapo kusogea mbele kidogo akakutana na guta linakatisha kidogo tena tujae. Nilimwambia uliponifikisha panatosha nikampa 2k. Nikatafuta mwingine. Nilikoma aisee.
 
-hawa madereva wa mwendokasi wanahitaji busara na utu sana wakiwa city center
-hawa bodaboda nao wanafamilia wanapigania mkate viongozi wetu wakuweka sawa haya mambo wao full ac huko
-miundombinu yetu sio ya kueleweka sisi tuliobadilisha vichochoro kua barabara tunatesana tu
-ila nchi hii laana tu yani kama tumeshindwa kuweka vizuizi kwenye railway itakua mwendokasi mbona kama najitesa kutoa ushauri mlaaniwe wenye mamlaka pateni utajiri lakini mlaaniwe kuku nyie

MADEREVA WA MWENDOKASI ACHENI UHURU KUJIONA MKO NDANI YA TRENI MIUNDOMBINU YETU INAINGILIANA SANA BILA VIZUIZI VYOVYOTE SERIKALI ACHENI KULALA KUNGEKUA NA KIZUIZI PALE TENA CHA GATE BODABODA ANGESIMAMA MNANUNUA MAGARI YA KIFAHARI TU NYAU NYIE

-NAAMINI KUIBADILISHA NCHI HII KAMWE USITEGEMEE CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA NI LAZIMA ITOKE NDANI YA MTU MMOJA AJITOLEE MAISHA YAKE KWAAJILI YA NCHI HAWA MAFISADI HAWA KUPITIA VYAMA HAMNA KITU
Mwendo Kasi Hana kosa Wala hastahili lawama!.
Huyo bodaboda ni kama kajiua mwenyewe!
Tatizo la bodaboda wengi hawajaenda driving schools kwahiyo wanachojua ni kuvuta moto na kupangua gia tu kama vile wapo majangwani ambapo hakuna watumiaji wengine wa Barbara. Sheria za usalama barabarani zinakataza mtu kuendesha chombo Cha moto akiwa amelewa au akiwa na uchovu mwingi unaoweza kumsababishia usingizi akiwa barabarani lakini naamini wapo bodaboda wanaokunywa hizo K Vanti na vilevi vingine wakiwa kazini hapo wanaweza gongwa hata na malori sio lazima mwendo Kasi.
 
Boda nae hata kuchungulia, yani kajaa barabarani na speed ileile. Hata kama ingekuwa barabara ya kawaida kwa gari yoyote huyo boda angepata ajali. Kajisahau kuwa kuna watumiaji wengine achungulie kidogo.
Noda wajifunze kuwa makini kwenye maeneo ambayo yanahitaji kutoa kipaumbele kwa wengine. Hapo wala hakuna haja ya taa za kuongozea magari.
 
Uendeshaji wa pikipiki unaonekana kama ni rahisi sana,lkn pamoja na urahisi wake kunahitajika elimu kubwa sana juu ya usalama wake...
Boda boda wengi hawana leseni Wala hawajapata mafunzo ya udereva. Mtu kafundishwa kuendesha pikipiki huko mtaani kwao tayari anaingia barabarani kubeba abiria. Ilikuwa Kuna haja kabla ya kupanda pikipiki kumwambia dereva akuonyeshe leseni ya udereva na cheti Cha udereva.
 
Back
Top Bottom