-hawa madereva wa mwendokasi wanahitaji busara na utu sana wakiwa city center
-hawa bodaboda nao wanafamilia wanapigania mkate viongozi wetu wakuweka sawa haya mambo wao full ac huko
-miundombinu yetu sio ya kueleweka sisi tuliobadilisha vichochoro kua barabara tunatesana tu
-ila nchi hii laana tu yani kama tumeshindwa kuweka vizuizi kwenye railway itakua mwendokasi mbona kama najitesa kutoa ushauri mlaaniwe wenye mamlaka pateni utajiri lakini mlaaniwe kuku nyie
MADEREVA WA MWENDOKASI ACHENI UHURU KUJIONA MKO NDANI YA TRENI MIUNDOMBINU YETU INAINGILIANA SANA BILA VIZUIZI VYOVYOTE SERIKALI ACHENI KULALA KUNGEKUA NA KIZUIZI PALE TENA CHA GATE BODABODA ANGESIMAMA MNANUNUA MAGARI YA KIFAHARI TU NYAU NYIE
-NAAMINI KUIBADILISHA NCHI HII KAMWE USITEGEMEE CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA NI LAZIMA ITOKE NDANI YA MTU MMOJA AJITOLEE MAISHA YAKE KWAAJILI YA NCHI HAWA MAFISADI HAWA KUPITIA VYAMA HAMNA KITU