Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
BURUNDI ambapo Mwingulu alisema tuhamie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utawaondoa leo kiutu, kesho wanarudi tena. Ni bora alivyofanya hivyo kuliko angewachapa hao watu. Watu waache ubishi, kama kuna katazo kwanini wafanye hapo.Mkuu hapa issue sio kwamba tunalaumu kwa Askari kucwachukulia hatua hao wafanya biashara bali lawama ni kwa aina ya hatua aliyoichukua ya kupiga mateke hayo matunda,unaona hivyo ni sahihi? hakukua na njia nyingine ya kiutu zaidi ya hiyo?