VIDEO: Askari Polisi alalamikia mishahara midogo

VIDEO: Askari Polisi alalamikia mishahara midogo

Acha fix. Wewe kama siyo askari huwezi kujua yaliyomo. Hali ni mbaya kote.

Nina brother alimaliza form six tena Division 2, akaingia JWTZ, alipofika huko baada ya muda akaenda kozi ya MP ( hiki ni kitengo tu ambacho mshahara wake hauzidi 35,000 ). Na sasa hivi kamaliza bachelor lakini hakuna maajabu.

Kwasababu askari siyo watu wa kulalamika, jamii huwa inadhani wao wana maisha mazuri mnoo.
kwa JWTZ offocers course huendi hivi. unaomba.. mkuu wa kikosi anapitia maombi yako.
akiyakubali unaenda. akikataa unabaki hapo hapo.
na vile ameshaenda u MP. ndio lajifunga kabisa.

mm nina washlaji zangu waliingia jwtz baada ya kumaliza degree.
ndani ya miaka miwili wakawa selected lwenda officers course.
 
Hao wanalalamika kitu gani wakati vituo wamevigeuza kuwa migodi yao ili mtu apate Police Bond lazima atoe rushwa.

Wao ndio wanaotumiwa na ccm kuwasaidia kuhujumu uchaguzi sasa wanalalamika nini. Nonsense.
 
Huyo askari mwanaume wangemstaafisha tu yaani miaka 27 ya kufanya kazi bado hana hata nyota ni sergent tu looo uvivu wa kusoma .Huyu anatakiwa aondolewe cheo hicho ni cha vijana wadogo tu zee zima sergent !!! Haoni aibu?
Shukran ya punda waliposaidia kuwaibia kura kulinda wizi wenu wa kura hukuyaona hayo
 
JWTZ mfumo ndio mgumu sasa maana kutokea askari kupata nyota lazima uende Chuo cha uafisa wakati Polisi,Magereza,Uhamiaji kutokea uaskari unaweza ukapewa tu nyota na mkuu wa jeshi eg IGP au CGP etc
JWTZ cheo kozi, cheo kozi cheo kozi mpaka anastaafu kiinua mgongo anaenda kujitibu miguu.
 
View attachment 1725896
"Mke wangu ni Mwalimu lakini ananizidi mshahara, Sijui tuna laana hapa" - Askari mbele ya Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi

Baadhi ya askari wamepata nafasi ya kuzungumzia vitu mbalimbali ikiwemo stahiki zao katika mkutano wa Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo uliouhusisha askari wapambanaji wanaotoka kwenye Idara zilizopo chini ya wizara hiyo uliofanyika mkoani Singida
Huyu atulie tu, tunawapa za kubrashia viatu, wanagawana nyama,wanapanda magari bure na tunawavisha, aache hizo
 
Polisi wanakuka rushwa sana tena sana hapaswi kulalamika Ni uzembe sergent kulalamika.

mwlm wa shule ya msingi rushwa apate wapi? Auze visheti labda.
 
View attachment 1725896
"Mke wangu ni Mwalimu lakini ananizidi mshahara, Sijui tuna laana hapa" - Askari mbele ya Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi

Baadhi ya askari wamepata nafasi ya kuzungumzia vitu mbalimbali ikiwemo stahiki zao katika mkutano wa Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo uliouhusisha askari wapambanaji wanaotoka kwenye Idara zilizopo chini ya wizara hiyo uliofanyika mkoani Singida


Polisi wetu wanafanya kazi kuliko hata wanajeshi lakini mshahara ni mdogo sana.
 
Back
Top Bottom