VIDEO: Askari Polisi alalamikia mishahara midogo

VIDEO: Askari Polisi alalamikia mishahara midogo

mkuu ungekomaa na mabo ya vyama basi sana ccm ingekua safi sana.

haipendezi kujadili mambo ya kada sisiyo yako kwa mtindo wa ujuaji kiasi hiki.

wewe unadhani kila mwenye sifa anapandishwa cheo??mbona hapo lumumba wengi mnajipendekeza sana ili wenye uwezo wasisikike!!hizi ajira zenu zisizo za kuzalisha haziangalii potential ya mtu kazini,ila ni kwa namna gani ni chawa wa kiongozi.

kama umefatilia ziara ya mh rais udinduzi wa mabweni ya polisi,kuna askari alipata nafasi ya kutoa neno mbele ya mh rais,kwa jinsi alivyoongea tegemea apande vyeo sana na atasifiwa.sababu aliwasafisha wenyewe mbwa mbele ya rais.lakini huyu mzee hata kwa kumtizama usoni anaonekana sio wa kuchekea usen&,basi anasiginiwa kunguni.
Huyo atasugua soli sana tu
 
Kupata nyota sio ukaaji wako muda mrefu kazini. Ukiona kijana kapata nyota ujue ana elimu ya kuanzia form six, na ameenda kozi za kiuafsa. Hata jeshini kuna wazee wengi tu wameishia vyeo vya mikononi, cheo cha mabegani vinahitaji elimu.
Na hao unawasema vijana wengi wa JWTZ wa miaka hii wameenda wakiwa na Elimu zao ndio maana. Sasa huo mzee ukute alienda police akiwa na form four, hawezi kwenda kusoma kozi ya uafisa ni hadi kwanza ajiendeleze kielimu kwanza.
Afu naona pia Police kozi za uafisa ni shida kuna mshikaji wangu ameingia police toka 2013 akajiendeleza kamaliza chuo mwaka 2018 hajapata kozi hadi saizi
Mbona JWTZ hata wenye elimu ya darasa la Saba Wana pata V kirahisi Sana Kuna marafik zangu ni darasa la Saba lakin wa cheo tena V wengne mpaka tatu, na jeshini hawana miaka mingi
 
Labda alikuwa vitengo vya kula rushwa sana akaona kusoma ujinga. Ndio.maana unaona ni mzee sana lakini ana kacheo kadogo na mshahara mdogo
Nilikuwa sijui...Kumbe Polisi kuna kitengo maalum cha kula rushwa....???
 
hilo ni tatizo dunia nzima.

maana mkate ni mdogo wahitaji ni wengi.
jwtz kuvaa nyota ya kwanza mpaka 2 ni kazi nyepesi,shida inaanzia nyota ya 3.

halafu siku hizi askari kibao wa jwtz wanajiendeleza kielimu pia,hivyo jeshi huwapa kipaumbele hao zikitoka nafasi za cheo.
Hata ya 3 pia sio shida sana ngoma ngumu sana kutoka major Kwenda Lt colonel hapo ndiyo kisanga chakuachania
 
Huyo askari mwanaume wangemstaafisha tu yaani miaka 27 ya kufanya kazi bado hana hata nyota ni sergent tu looo uvivu wa kusoma .Huyu anatakiwa aondolewe cheo hicho ni cha vijana wadogo tu zee zima sergent !!! Haoni aibu?
usiongee usichikijua wewe !Haya majeshi yasikie tu magereza,jwtz,polosi watu wanamasters lakini wameishia kuwa sargents tu
 
mkuu ungekomaa na mabo ya vyama basi sana ccm ingekua safi sana.

haipendezi kujadili mambo ya kada sisiyo yako kwa mtindo wa ujuaji kiasi hiki.

wewe unadhani kila mwenye sifa anapandishwa cheo??mbona hapo lumumba wengi mnajipendekeza sana ili wenye uwezo wasisikike!!hizi ajira zenu zisizo za kuzalisha haziangalii potential ya mtu kazini,ila ni kwa namna gani ni chawa wa kiongozi.

kama umefatilia ziara ya mh rais udinduzi wa mabweni ya polisi,kuna askari alipata nafasi ya kutoa neno mbele ya mh rais,kwa jinsi alivyoongea tegemea apande vyeo sana na atasifiwa.sababu aliwasafisha wenyewe mbwa mbele ya rais.lakini huyu mzee hata kwa kumtizama usoni anaonekana sio wa kuchekea usen&,basi anasiginiwa kunguni.
Ww nawe ni pro-ccm, chawa wa kijani, ccm ndo imeifikisha hii nchi hapa, huyo bwana magu na lichama lake ni wa kuwaondoa kabisa
 
Elimu ni moja ya vigezo vikubwa .Huyo Askari kafanya kazi miaka 27 bado sergent ni unptoffessional soldier huyo alikuwa hataki shule huyo.Labda alikuwa vitengo vya kula rushwa sana akaona kusoma ujinga. Ndio.maana unaona ni mzee sana lakini ana kacheo kadogo na mshahara mdogo
Askari wengi tz hawana shule mkuu
 
Kwenye suala la kulaaniwa, akumbuke alichokifanya kwenye uchaguzi mkuu wa 2020.
 
Naamini huyu jamaa aweza kuwa matatani saiv kulidhalilisha Jeshi...kudai dai Haki
 
View attachment 1725896
"Mke wangu ni Mwalimu lakini ananizidi mshahara, Sijui tuna laana hapa" - Askari mbele ya Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi

Baadhi ya askari wamepata nafasi ya kuzungumzia vitu mbalimbali ikiwemo stahiki zao katika mkutano wa Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo uliouhusisha askari wapambanaji wanaotoka kwenye Idara zilizopo chini ya wizara hiyo uliofanyika mkoani Singida
 
Huyo askari mwanaume wangemstaafisha tu yaani miaka 27 ya kufanya kazi bado hana hata nyota ni sergent tu looo uvivu wa kusoma .Huyu anatakiwa aondolewe cheo hicho ni cha vijana wadogo tu zee zima sergent !!! Haoni aibu?
officer sio cheo cha shukrani. kuna qualification lazima awe nazo. sio experience.
kama hana atachezea hapo hapo mpaka ana staafu
 
Sasa mbona askar wa jwtz vijana wadogo wana nyota au V, tofaut na polis kumkuta kija ana nyota 3 au 2 ni nadra sanaa
jeshini kwasababu vijana wengi wanaingia wakiwa form 6 or diploma na degree. wanakuwa na qualification za kwenda officers course.
police ni otherwise... na siku zote jeshin ukianza na cheo cha V.. kuna kupata nyota ni shughuli.
 
Back
Top Bottom