Amesema ana elimu kubwa kuliko mke wakeHana cheti cha F4
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amesema ana elimu kubwa kuliko mke wakeHana cheti cha F4
Huyo atasugua soli sana tumkuu ungekomaa na mabo ya vyama basi sana ccm ingekua safi sana.
haipendezi kujadili mambo ya kada sisiyo yako kwa mtindo wa ujuaji kiasi hiki.
wewe unadhani kila mwenye sifa anapandishwa cheo??mbona hapo lumumba wengi mnajipendekeza sana ili wenye uwezo wasisikike!!hizi ajira zenu zisizo za kuzalisha haziangalii potential ya mtu kazini,ila ni kwa namna gani ni chawa wa kiongozi.
kama umefatilia ziara ya mh rais udinduzi wa mabweni ya polisi,kuna askari alipata nafasi ya kutoa neno mbele ya mh rais,kwa jinsi alivyoongea tegemea apande vyeo sana na atasifiwa.sababu aliwasafisha wenyewe mbwa mbele ya rais.lakini huyu mzee hata kwa kumtizama usoni anaonekana sio wa kuchekea usen&,basi anasiginiwa kunguni.
KafojiAmesema ana elimu kubwa kuliko mke wake
Kama ana eliku kubwa mbona ana VVV?Amesema ana elimu kubwa kuliko mke wake
Mbona JWTZ hata wenye elimu ya darasa la Saba Wana pata V kirahisi Sana Kuna marafik zangu ni darasa la Saba lakin wa cheo tena V wengne mpaka tatu, na jeshini hawana miaka mingiKupata nyota sio ukaaji wako muda mrefu kazini. Ukiona kijana kapata nyota ujue ana elimu ya kuanzia form six, na ameenda kozi za kiuafsa. Hata jeshini kuna wazee wengi tu wameishia vyeo vya mikononi, cheo cha mabegani vinahitaji elimu.
Na hao unawasema vijana wengi wa JWTZ wa miaka hii wameenda wakiwa na Elimu zao ndio maana. Sasa huo mzee ukute alienda police akiwa na form four, hawezi kwenda kusoma kozi ya uafisa ni hadi kwanza ajiendeleze kielimu kwanza.
Afu naona pia Police kozi za uafisa ni shida kuna mshikaji wangu ameingia police toka 2013 akajiendeleza kamaliza chuo mwaka 2018 hajapata kozi hadi saizi
Nilikuwa sijui...Kumbe Polisi kuna kitengo maalum cha kula rushwa....???Labda alikuwa vitengo vya kula rushwa sana akaona kusoma ujinga. Ndio.maana unaona ni mzee sana lakini ana kacheo kadogo na mshahara mdogo
Hata ya 3 pia sio shida sana ngoma ngumu sana kutoka major Kwenda Lt colonel hapo ndiyo kisanga chakuachaniahilo ni tatizo dunia nzima.
maana mkate ni mdogo wahitaji ni wengi.
jwtz kuvaa nyota ya kwanza mpaka 2 ni kazi nyepesi,shida inaanzia nyota ya 3.
halafu siku hizi askari kibao wa jwtz wanajiendeleza kielimu pia,hivyo jeshi huwapa kipaumbele hao zikitoka nafasi za cheo.
Lt kanali kwenda kanali hapo ugumu umekaaje mkuu?Hata ya 3 pia sio shida sana ngoma ngumu sana kutoka major Kwenda Lt colonel hapo ndiyo kisanga chakuachania
usiongee usichikijua wewe !Haya majeshi yasikie tu magereza,jwtz,polosi watu wanamasters lakini wameishia kuwa sargents tuHuyo askari mwanaume wangemstaafisha tu yaani miaka 27 ya kufanya kazi bado hana hata nyota ni sergent tu looo uvivu wa kusoma .Huyu anatakiwa aondolewe cheo hicho ni cha vijana wadogo tu zee zima sergent !!! Haoni aibu?
Ww nawe ni pro-ccm, chawa wa kijani, ccm ndo imeifikisha hii nchi hapa, huyo bwana magu na lichama lake ni wa kuwaondoa kabisamkuu ungekomaa na mabo ya vyama basi sana ccm ingekua safi sana.
haipendezi kujadili mambo ya kada sisiyo yako kwa mtindo wa ujuaji kiasi hiki.
wewe unadhani kila mwenye sifa anapandishwa cheo??mbona hapo lumumba wengi mnajipendekeza sana ili wenye uwezo wasisikike!!hizi ajira zenu zisizo za kuzalisha haziangalii potential ya mtu kazini,ila ni kwa namna gani ni chawa wa kiongozi.
kama umefatilia ziara ya mh rais udinduzi wa mabweni ya polisi,kuna askari alipata nafasi ya kutoa neno mbele ya mh rais,kwa jinsi alivyoongea tegemea apande vyeo sana na atasifiwa.sababu aliwasafisha wenyewe mbwa mbele ya rais.lakini huyu mzee hata kwa kumtizama usoni anaonekana sio wa kuchekea usen&,basi anasiginiwa kunguni.
Soma vizuri mzee mwenzangu ni major Kwenda Lt colonelLt kanali kwenda kanali hapo ugumu umekaaje mkuu?
Askari wengi tz hawana shule mkuuElimu ni moja ya vigezo vikubwa .Huyo Askari kafanya kazi miaka 27 bado sergent ni unptoffessional soldier huyo alikuwa hataki shule huyo.Labda alikuwa vitengo vya kula rushwa sana akaona kusoma ujinga. Ndio.maana unaona ni mzee sana lakini ana kacheo kadogo na mshahara mdogo
View attachment 1725896
"Mke wangu ni Mwalimu lakini ananizidi mshahara, Sijui tuna laana hapa" - Askari mbele ya Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
Baadhi ya askari wamepata nafasi ya kuzungumzia vitu mbalimbali ikiwemo stahiki zao katika mkutano wa Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo uliouhusisha askari wapambanaji wanaotoka kwenye Idara zilizopo chini ya wizara hiyo uliofanyika mkoani Singida
Hiyo ni kawaida tu hata pale CCP wapo jamaa wanapiga kozi ya sajenti wote elimu zao ni kuanzia digrii 1 na zaidi.Kama ana eliku kubwa mbona ana VVV?
Siyo kweli hakuna mtu mwenye degree ana V kwa muda wa miaka 27Hiyo ni kawaida tu hata pale CCP wapo jamaa wanapiga kozi ya sajenti wote elimu zao ni kuanzia digrii 1 na zaidi.
officer sio cheo cha shukrani. kuna qualification lazima awe nazo. sio experience.Huyo askari mwanaume wangemstaafisha tu yaani miaka 27 ya kufanya kazi bado hana hata nyota ni sergent tu looo uvivu wa kusoma .Huyu anatakiwa aondolewe cheo hicho ni cha vijana wadogo tu zee zima sergent !!! Haoni aibu?
police general order. ndio miongozo ya kaz ndani ya jeshi la policePGO ndio nini? Huyo Mwanadada ukimtazama mavazi yake ni polisi?
jeshini kwasababu vijana wengi wanaingia wakiwa form 6 or diploma na degree. wanakuwa na qualification za kwenda officers course.Sasa mbona askar wa jwtz vijana wadogo wana nyota au V, tofaut na polis kumkuta kija ana nyota 3 au 2 ni nadra sanaa