Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ya Uchawi, Uwongo na Ufisadi.Hebu tuambieni kwa wale tusiomjua huyo jamaa hivi toka amekuwa kiongozi kuna legacy gani ameicha katika jamii au kwa taifa kiujumla, au jina ndio linalombeba kwamba kila kiongozi akiingia madarakari baba anapiga simu " mwanangu kuna kijana wangu yuko huko mjini usimsahau, nisaidie kumwangalia" kazi anapata
Unafiki tu umewajaa hamna kitu. Wanatafuta huruma tukavaa kiislamu kama kawaida ya waislamu wa ma-elite wa tz, wakibanwa ndo wanawarudia waislamu walalahoi wakarirri Kurani wawatete, mambo yakiwa sawa, ni full suit za kizungu, pure evil …
Leo ni ijumaa,,acheni makasiriko,,hata bunge linatambua vazi hiloMkiambiwa Dogo ana Dharau sana na hafai msiwe mnabisha.
Kanzu ni vazi tu.na si uislamu wa mtuHii ni hard truth kaka, isitoshe kusema waislam walala hoi hawalioni wala hawashtuki vile ma elite wanavyo wachora
Kama Samia amekua Rais nani hatoweza?hiki kijamaa na chenyewe kikijiangalia kinajiona kinafaa kabisa kuwa rais wa nchi
Si anagombea uwenyekiti wa African Union?Hiyo imeenda ila bado ana cheo cha kuwa rais wa bumbuli
Thank you for your service hon Makamba🫶. Karibu waziri mpya mh. Balozi, unaonekana mchapakaxi na mstaarabu. Goodluck & Best wishesJuly
Mifuko haramu alifanikiwa...siku hizi imerudiHebu tuambieni kwa wale tusiomjua huyo jamaa hivi toka amekuwa kiongozi kuna legacy gani ameicha katika jamii au kwa taifa kiujumla, au jina ndio linalombeba kwamba kila kiongozi akiingia madarakari baba anapiga simu " mwanangu kuna kijana wangu yuko huko mjini usimsahau, nisaidie kumwangalia" kazi anapata
Nchi hii yoyote anaweza kuwa Rais, case study Magufuli.hiki kijamaa na chenyewe kikijiangalia kinajiona kinafaa kabisa kuwa rais wa nchi
Mkoti Mkubwa balaa..huyo Waziri mpya ni mshamba.
..huo sio uvaaji wa balozi, sembuse Waziri wa mambo ya nje.
Hili hata mimi nimeliona,nadhani baada kuwekwa bench atakuwa ana swali sala tano.kavaa kiislamu kama kawaida ya waislamu wa ma-elite wa tz, wakibanwa ndo wanawarudia waislamu walalahoi wakarirri Kurani wawatete, mambo yakiwa sawa, ni full suit za kizungu, pure evil …
Alikuacha madarasa mawili ila kwako ni "dogo" hahah!Huyu dogo ni mweupe pamoja na exposure ya kukaa nje na kufanya kazi na JK. Mimi aliniacha madarasa mawili Galanos kipindi cha kashfa ya wizi wa mitihani. Ilifichwa kimafia sana ile kashfa japo tulijua pamoja na wazee kuifunika kwa nguvu. Huyu doho amshukuru sana JK na Mkuchika.