Pre GE2025 Video: Baada ya kutenguliwa nafasi ya Uwaziri January Makamba akikabidhi ofisi leo 28/07/2024

Pre GE2025 Video: Baada ya kutenguliwa nafasi ya Uwaziri January Makamba akikabidhi ofisi leo 28/07/2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hebu tuambieni kwa wale tusiomjua huyo jamaa hivi toka amekuwa kiongozi kuna legacy gani ameicha katika jamii au kwa taifa kiujumla, au jina ndio linalombeba kwamba kila kiongozi akiingia madarakari baba anapiga simu " mwanangu kuna kijana wangu yuko huko mjini usimsahau, nisaidie kumwangalia" kazi anapata
 
Hebu tuambieni kwa wale tusiomjua huyo jamaa hivi toka amekuwa kiongozi kuna legacy gani ameicha katika jamii au kwa taifa kiujumla, au jina ndio linalombeba kwamba kila kiongozi akiingia madarakari baba anapiga simu " mwanangu kuna kijana wangu yuko huko mjini usimsahau, nisaidie kumwangalia" kazi anapata
Labda ya Uchawi, Uwongo na Ufisadi.
 
Huyu dogo ni mweupe pamoja na exposure ya kukaa nje na kufanya kazi na JK. Mimi aliniacha madarasa mawili Galanos kipindi cha kashfa ya wizi wa mitihani. Ilifichwa kimafia sana ile kashfa japo tulijua pamoja na wazee kuifunika kwa nguvu. Huyu doho amshukuru sana JK na Mkuchika.
 
..huyo Waziri mpya ni mshamba.

..huo sio uvaaji wa balozi, sembuse Waziri wa mambo ya nje.
 
Hebu tuambieni kwa wale tusiomjua huyo jamaa hivi toka amekuwa kiongozi kuna legacy gani ameicha katika jamii au kwa taifa kiujumla, au jina ndio linalombeba kwamba kila kiongozi akiingia madarakari baba anapiga simu " mwanangu kuna kijana wangu yuko huko mjini usimsahau, nisaidie kumwangalia" kazi anapata
Mifuko haramu alifanikiwa...siku hizi imerudi
 
..huyo Waziri mpya ni mshamba.

..huo sio uvaaji wa balozi, sembuse Waziri wa mambo ya nje.
Mkoti Mkubwa balaa
Lakini sisi hatujali mavazi yake waovaa kiobama wakina marope si ndio hao wanaiba na madili kila uchao??

Tuombe Mungu asiwe mpiga dili kama yule mzanzibari mwingine ambae anatuibia sana wizara flani nyeti.
 
kavaa kiislamu kama kawaida ya waislamu wa ma-elite wa tz, wakibanwa ndo wanawarudia waislamu walalahoi wakarirri Kurani wawatete, mambo yakiwa sawa, ni full suit za kizungu, pure evil …
Hili hata mimi nimeliona,nadhani baada kuwekwa bench atakuwa ana swali sala tano.

Bahati nzuri aliyempokea ni swala 5 na anatokea nchi ya Zanzibar.Huku Tanganyika kakosekana mtu mwenye sifa za kuongoza wizara ya mambo ya nje.
 
Huyu dogo ni mweupe pamoja na exposure ya kukaa nje na kufanya kazi na JK. Mimi aliniacha madarasa mawili Galanos kipindi cha kashfa ya wizi wa mitihani. Ilifichwa kimafia sana ile kashfa japo tulijua pamoja na wazee kuifunika kwa nguvu. Huyu doho amshukuru sana JK na Mkuchika.
Alikuacha madarasa mawili ila kwako ni "dogo" hahah!
 
Back
Top Bottom