Wakamatwe haraka sana wasije wakatuletea maafa, maana wameshakuwa brain washed.
Acha kupiga kelele mtandaoni. Lianzishe.Hii nchi siyo yenu pekee yenu, hilo mkae mkilijua kuwa ipo siku tutagawana mbichi
No one knows tomorrow.
Did I say I know tomorrow?...No one knows tomorrow.
Nyinyi simunaringia dola lkn kama dola itakaa pembeni tuingieni ulingoni ccm na chadema nawahakikishia raundi mbili hamuchukui ccm iko icuWakianzishe basi kama wanao ubavu; sio kujifungia mabwenini na kubwatuka bwatuka hovyo.
Endelea kupumbazwa hapo ufipa.Nyinyi simunaringia dola lkn kama dola itakaa pembeni tuingieni ulingoni ccm na chadema nawahakikishia raundi mbili hamuchukui ccm iko icu
Sent using Jamii Forums mobile app
We limama haujazaa tu?Lione kwanza na litumbo lake..Kutwa kucha kuwanga kwenye threat za upinzani tu mbona kwenye kilimo huendi kuchangia???Bogus kabisa.Wakianzishe basi kama wanao ubavu; sio kujifungia mabwenini na kubwatuka bwatuka hovyo.
Hata hujui unamdhalilisha mama yako hapo, ulivyo na akili fyongo. Siku nikikubinua ndio utajua hujui.We limama haujazaa tu?...
Kuilinda Tanzania dhidi ya adui corona a.k.a CCMKiapo kinahusu "kuwa tarari" kwa lipi?.
Kuilinda Tanzania dhidi ya maadui wa nje na ndani? Hapa nitakubaliana nacho
Zaidi ya hivyo inatia shaka; unaweza kuwa ndio mwanzo wa mteremko wenye utelezi!.
Ukitaka nitaeleza kwa kirefu, lakini mwelekeo huu bila kujali nani anahusika nao ni mwanzo wa majanga yasiyostahiri kuwepo kwa sasa.
Njia nzuuuri na iliyonyooka inafahamika, nayo ni kupitia kwa wananchi wa Tanzania, waifanye kazi inayowahusu wao.
Ikizuiwa kwa njia zote, basi "Kiapo" ni halali yetu sote.
Inabidi hao vijana walitambue hilo wakati wote.
Na kama wanachokozwa, hilo ni jambo jingine.
Wakianzishe basi kama wanao ubavu; sio kujifungia mabwenini na kubwatuka bwatuka hovyo.
Wanaumia mno kuona hayaKiapo kiliongozwa na Twaha Mwaipaya , kijana ambaye nyota yake ya uhamasishaji kwa muda mfupi aliopewa madaraka inatisha mno !
View attachment 1382472
Huu ni mwanzo tuWanaumia mno kuona haya
Jr[emoji769]
Unajua kiingereza kuliko watu watatu wa ccm , nitataja wawili , Ndalichako , Polepole na Huyu Naniliu simtaji kwanza kwa leoDid I say I know tomorrow?
kiapo cha kumpiga DC Hai na tule tulevi twenzakeKiapo kinahusu "kuwa tarari" kwa lipi?.
Kuilinda Tanzania dhidi ya maadui wa nje na ndani? Hapa nitakubaliana nacho
Zaidi ya hivyo inatia shaka; unaweza kuwa ndio mwanzo wa mteremko wenye utelezi!.
Ukitaka nitaeleza kwa kirefu, lakini mwelekeo huu bila kujali nani anahusika nao ni mwanzo wa majanga yasiyostahiri kuwepo kwa sasa.
Njia nzuuuri na iliyonyooka inafahamika, nayo ni kupitia kwa wananchi wa Tanzania, waifanye kazi inayowahusu wao.
Ikizuiwa kwa njia zote, basi "Kiapo" ni halali yetu sote.
Inabidi hao vijana walitambue hilo wakati wote.
Na kama wanachokozwa, hilo ni jambo jingine.
wewe ukipigwa dole tu vitani unakufa kabisaWakianzishe basi kama wanao ubavu; sio kujifungia mabwenini na kubwatuka bwatuka hovyo.
Ametajwa na bimkubwa of youMbona Bw. Tundu Lisu, Makamu Mwenyekiti wa CDM hakutajwa kwenye kiapo cha utii?
Green guard wapo wapi sikuizi?Wakamatwe haraka sana wasije wakatuletea maafa, maana wameshakuwa brain washed.
CHAMANI kwenu steve Nyerere, polepole, Xhaka humud kiongozi wa UVCCM liyeolewaEndelea kupumbazwa hapo ufipa.