Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aibu na impate, na watu wote tuseme ameeen!Mbowe anashindana na nyakati!
Tatizo la Mbowe ni kuwa upande wa Mama. CHADEM kufa au kufufuka itategemea maamuzi ya Mbowe. Aamue kuvuruga uchaguzi au aache Demokrasia ichukuwe mkondo wake na akubali matokeo.Safari hii Mbowe kashikwa
aibu na impate, na watu wote tuseme ameeen!
Hahaah haisaidiiWanajua mwamba amekipigania chama kwa gharama ipi ?
Kama kweli Chama ni mali yake, basi patachimbikaTatizo la Mbowe ni kuwa upande wa Mama. CHADEM kufa au kufufuka itategemea maamuzi ya Mbowe. Aamue kuvuruga uchaguzi au aache Demokrasia ichukuwe mkondo wake na akubali matokeo.
Mbowe ana wakati mgumu sana, nadhani anatamani kujitoa ila anawaza pa kuanzia. Kwanini asijiuguze tu wiki nzima kitandani yakapita haya. 🤣 🤣 🤣Tazama kundi la baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha) wakimuunga mkono Mgombea wa Uenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu hadharani, wasema "Mabadiliko lazima" wakiwa kwenye uchaguzi wa kupata viongozi wao.
Pia, Soma:
Muda na majira yakiwadia, hata chawa akili huwarudia!
CCM na machawa wake waanze kutia maji vichwa vyao, maana ni wakati wa kinyozi kupitia vichwa vyao
Huku mbeya sugu kajichanganya hahahaTazama kundi la baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha) wakimuunga mkono Mgombea wa Uenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu hadharani, wasema "Mabadiliko lazima" wakiwa kwenye uchaguzi wa kupata viongozi wao.
Pia, Soma:
Duuuuh hahahaUyo bidada ana macho lainiiii.Anaonekana mtamu sana.Chadema wanavisu balaa.