Video: Benjamin Netanyahu ajitokeza hadharani kibabe baada ya kuwepo na taarifa ya nyumba yake kushambuliwa na drone

Video: Benjamin Netanyahu ajitokeza hadharani kibabe baada ya kuwepo na taarifa ya nyumba yake kushambuliwa na drone

Ayatollah-Ali-Khamenei0601.jpg

Ayatolah baada ya kusikia Netanyahu yuko Hai😆😂
 
Ubabe upo wapi hapo sasa! Kujipendekeza kwingine nako!
 
Hivi ni kwanini Magaidi wakiuwawa wanakufa mdomo wazi?! Au wanakuwa wameshangaa nini?!
 
Aisee, ina maana alikuwa nyumbani mzee Neta...
Tutajua ukweli, atajificha ndani hadi lini?
Kajitokeza yuko vizuri. Nadhani si rahisi katika kipindi hiki cha vita awe anakuwepo au kuishi nyumbani kwake kunakojulikana na wengi - na hata maadui.
 
Wakuu,

Kuna hii video inasambaa.

Baada ya taarifa kutapaka mitandaoni kwamba nyumba ya Benjamin Netanyahu imeshambuliwa na drone kutoka kwa Hezbollah na kusababisha wengi kuhoji usalama wa kiongozi huyo, hatimaye simba huyo wa vita amejitokeza.

Soma pia:



Netanyahu kwenye video fupi amejitokeza na kusema kuwa yuko imara na hakuna kitu kitamdhoofisha wakati anapigana na proxies wa Iran.


 
Wakuu,

Kuna hii video inasambaa.

Baada ya taarifa kutapaka mitandaoni kwamba nyumba ya Benjamin Netanyahu imeshambuliwa na drone kutoka kwa Hezbollah na kusababisha wengi kuhoji usalama wa kiongozi huyo, hatimaye simba huyo wa vita amejitokeza.

Soma pia:



Netanyahu kwenye video fupi amejitokeza na kusema kuwa yuko imara na hakuna kitu kitamdhoofisha wakati anapigana na proxies wa Iran.


Viva neta Pusi👏
 
Wakuu,

Kuna hii video inasambaa.

Baada ya taarifa kutapaka mitandaoni kwamba nyumba ya Benjamin Netanyahu imeshambuliwa na drone kutoka kwa Hezbollah na kusababisha wengi kuhoji usalama wa kiongozi huyo, hatimaye simba huyo wa vita amejitokeza.

Soma pia:



Netanyahu kwenye video fupi amejitokeza na kusema kuwa yuko imara na hakuna kitu kitamdhoofisha wakati anapigana na proxies wa Iran.

You!

GaMNIdZbIAAU55d.jpeg
 
Wakuu,

Kuna hii video inasambaa.

Baada ya taarifa kutapaka mitandaoni kwamba nyumba ya Benjamin Netanyahu imeshambuliwa na drone kutoka kwa Hezbollah na kusababisha wengi kuhoji usalama wa kiongozi huyo, hatimaye simba huyo wa vita amejitokeza.

Soma pia:



Netanyahu kwenye video fupi amejitokeza na kusema kuwa yuko imara na hakuna kitu kitamdhoofisha wakati anapigana na proxies wa Iran.


Habari mbaya kwa magaidi wa jf wote
Cc ITR Malaria 2
 
Drone ilielekezwa ktk nyumba yake binafsi. Kiongozi hawezi kukaa kwenye nyumba binafsi wakati wa mapambano.
 
Ushabiki utawafanya wehu, hapo kiubabe ki vipi hiyo ni picha ya zamani duh.
Kwahiyo Sin + war aliuliwa zamani?

Zamu ya Ayatollah itafika zile shuka anajitanda atahisi zina kunguni.
 
Kwahiyo Sin + war aliuliwa zamani?

Zamu ya Ayatollah itafika zile shuka anajitanda atahisi zina kunguni.
Iran ilishampa green light kuwa kujaribu ni bure!
 
Baada ya kuuwawa Mkuu wao wa Magaidi Yahya Sinwar Magaidi wa Hamas wameanza kusurrender huko Gaza.
 
Back
Top Bottom